Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Kazini tunaenda au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 17- tarehe 21 ni siku tatu ?
Tumeambiwa tuwe wazalendo mkuu.Inasikitisha while time fliesKama nchi hatuko serious kupambana na hili tatizo! Ni kwa ujasiri upi tulio nao hadi viongozi wakuu wako kwenye mikusanyiko bila kuchukua tahadhari? Are we really serious?
how old are you??
Anasemaje. Kuhusu corona?Kufuatia kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad kilichotokea Februari 17, Rais wa Tanzania ametangaza maombolezo ya siku tatu.
Maombolezo ya kitaifa yanaanza Februari 17, ambapo bendera zote zitapepea nusu mlingoti. Aidha Rais awaomba wafiwa wote wawe na moyo wa subira na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu.
- Breaking News: - Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia
The same to you!!You're hypocrite and dull
unasema?Aisee
Mnyenyekevuunasema?
Asante sana mkuu na wewe pia!RIP Baba