Rais Magufuli atangaza siku tatu za Maombolezo kufuatia kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad

Maalim alijitangaza mwenyewe kwamba anaumwa corona..Sijui JPMpiana na wenzake wanajisikiaje
 
Kama nchi hatuko serious kupambana na hili tatizo! Ni kwa ujasiri upi tulio nao hadi viongozi wakuu wako kwenye mikusanyiko bila kuchukua tahadhari? Are we really serious?
Tumeambiwa tuwe wazalendo mkuu.Inasikitisha while time flies
 
Anasemaje. Kuhusu corona?
Ipo au haipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…