Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Tusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri
Nyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Scape goat!!!!!Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Huyu ndie aliesemaga kwa kua Michango ya Wanachama ni 20% na wakistaafu watapatiwa kwanza 25% ambayo imeshapita Michango yao basi hawana haja ya kulalamika. Toka siku ile najaribu kupiga hesabu zangu ili nmuelewe lakini nimeshindwa.Nieleweshe kosa la Irene Kisaka ni lipi?
Hakuwa anatetea jambo binafsi. Ile ndiyo huitwa "Collective Responsibility"Sanaaaa! Nilijiuliza anawezaje kujitokezana kutetea kitu kama kile
Wapuuzi wakubwa na upuuzi wenu.Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Kuunga mkono upumbavu wa bosi wake.Nieleweshe kosa la Irene Kisaka ni lipi?