Je,ni kweli kuwa hiyo ni proposal yake? Au atakuwa ni mbuzi wa kafara kwa ajili ya nafasi yake...?Masikini dada yetu ulikuwa na kiherehere sana ona umekuwa mbuzi wa kafara
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukuombee uwe appointed siku moja kwenye nafas km hiyo and then tukuone km utapata nafas ya kupingana na boss wako. Before hili jambo lilitetewa na wote hadi wazir hucka...yeye angefanya nn zaidi ya kukaa upande huo??Dada alikuwa kiherehere sana huyu, alivyokuwa anaitetea ile 25% utafikiri yeye hayuko ktk kundi la wafanyakazi, kazi nyingine ya nn? Angemuacha apambane na kitumbua chake..!! Sheria mbovu na mbaya kama ile alikuwa anaitetea kweli? Ana roho mbaya sana huyu Irene, hana utu hata kidogo kwa wafanyakazi huyu mtu..!! 👹👺👿😠💀
Bora umeliona hili...wengne wamejaza povu kwa mdada aloondolewa kiti pekee. Nimependa fikra hizi
Wahenga humu hawalioni hili eti bro!!!!!!!
Tukuombee uwe appointed siku moja kwenye nafas km hiyo and then tukuone km utapata nafas ya kupingana na boss wako. Before hili jambo lilitetewa na wote hadi wazir hucka...yeye angefanya nn zaidi ya kukaa upande huo??
Msimuonee huyu mama bwana!
MBUZI WA KAFARA HUYO.Magufuli huwa hapendi ujinga na watu kufanya kazi kwa mazoea. kauli ya hapa kazi tu inaendelea kuwa wazi na lazima ieleweke Magufuli anaposema hapa kazi anamaanisha nini anasema.
Duh!Umeambiwa atapangiwa kazi nyingine, maana yake aliyofanya AlitumwA afanye ila imeshindikana. Hayakuwa maamuzi yake
Sina hakika hili litaishia kwa huyu mama tu,tusubiri huenda tutasikia. Haiwezekani kuhatarisha kura za kada ya wafanyakaz kwa mzaha kama huu kisha uendelee kuzunguka pale mezani...mimi hata mate sijameza,nasubiri hili kwa kiu kubwaWaziri Jenista nae asingetakiwa kuachwa kwa issue kama hii, wote wawili Waziri na Mkurugenzi SSRA walipaswa kuwajibika au kufukuzwa kazi..!! Hii ni issue very very sensitive, inagusa uhai wa wafanyakazi wote nchini..!!
I dont think so.Do you mean she was drunk with success? Or arrogant? Jidu La Mabambasi
Hii ilikuwa kama msemo wa kizaramo ule "Ukichimama nchale...ukikaa nchale" kote alikuwa lazma aumie tu. Anyway bora uumie katika kusimamia usawa utaonekana shujaa ila ukiumia kwa kutetea uovu basi utaonekana shwaini tu.Labda wakurugenzi kwenye nchi za watu wenye akili zao ila sio hapa.Uyo kwa vyovyote vile katolewa kafara kufichania ovu iliyokuwepo kwasababu hili jambo sio laleo na kwasababu hata ingetokea toka mwanzo angegoma bado angeambiwa kakiuka maagizo halali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke asiyejiamini huwa ni rahisi sana kupigwa mkojo hasa akiwa katika mazingira yenye changamoto. Kama chuoni ama wakati wa kutafuta kazi!Asante Magufuri huyu mdada nina wasiwasi na udokta wake kama ajaonga tamu shuleni ni bahati sana..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka umeanza kusikia mtu kupangiwa kazi nyingine ulishaona kuna mtu amerudishwa kwenye system ikiwa hana shughuli nafasi nyingine labda ubunge au ualimu ama ukuu wa idara?Hivi wapi wamesema huyu dada ametumbuliwa? Nionacho mimi ni kwamba atapangiwa kazi nyingine. Maana yake ni kwamba hakuna kibaya alichokifanya. Alitekeleza vyema maagizo ya serikali kutetea kikokotoo kama alivyoambiwa. Inashangaza eti watu wanapoongeza raisi kwa uamuzi huu wakati maslahi yake yako pale pale. Akili ku mkichwa Sio kupongeza hata ujinga.
I concurNa ndiyo somo nalofundisha kwenye thread hii. Bora uweke legacy nzuri kuliko mbaya! Simama upande wenye haki hata kama utakufa kwa njaa kuliko upande wa dhuluma huku unashiba!
Mtoto ni mkali arif, hebu hio ma lipz babii? Ni mtamu kwa fasiii!
Waziri Jenista nae asingetakiwa kuachwa kwa issue kama hii, wote wawili Waziri na Mkurugenzi SSRA walipaswa kuwajibika au kufukuzwa kazi..!! Hii ni issue very very sensitive, inagusa uhai wa wafanyakazi wote nchini..!!
.....na maelezo yake ya hovyo hovyo utafikiri ana present abstract kwa wanazuoni kumbe anaongelea maisha na jasho la watu!Dada alikuwa kiherehere sana huyu, alivyokuwa anaitetea ile 25% utafikiri yeye hayuko ktk kundi la wafanyakazi, kazi nyingine ya nn? Angemuacha apambane na kitumbua chake..!! Sheria mbovu na mbaya kama ile alikuwa anaitetea kweli? Ana roho mbaya sana huyu Irene, hana utu hata kidogo kwa wafanyakazi huyu mtu..!! [emoji83][emoji84][emoji49][emoji34][emoji88]
Hahahah ukishasikia hilo ujue habari yako kwisha, halafu kwenye position ya ukurugenzi ukiondolewa maana yake unakuwa huna la kufanya. Labda uwaziri maana ubunge still unakuwa nao.Hiyo huwa ni statement tu kuua soo. Ninawafahamu vigogo watatu “walioenguliwa” kwa gear ya kupangiwa kazi nyingine tangu mwaka jana. Wapo tu wizarani wanasugua benchi huku wakisoma magazeti.
huyu anaponaje wakati ndio alikuwa stelingi wa muvi yoteRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.
Mapema leo Rais Magufuli alifanya kikao cha wazi na Viongozi waTUCTA, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA) kujadili masuala yahusuyo Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO na Rais Magufuli alifikia hitimisho kwamba Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika).
Pia soma
> Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika) - JamiiForums
Irene Charles Isaka, Director General, Social Security Regulatory Authority - JamiiForums