IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Hao ndio waliopiga kura nchi nzima?Kipigo cha kutumia TISS CCM na kina mambo sasa ukijulisha na kura za kwenye masandarusi? Huoni hata soni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio waliopiga kura nchi nzima?Kipigo cha kutumia TISS CCM na kina mambo sasa ukijulisha na kura za kwenye masandarusi? Huoni hata soni?
Kwa jinsi alivyo tumbuliwa kwa aibu usishangae akaimbiwa nyimbo za tumpelekeKwanza alitakiwa achukuliwe kabisa na changamoto ya upumuaji
Hakika na ndiyo kwanza imeanzaDamu ya AKWILINA itamlilia Yeye na Kizazi Chake
Itakuwa imefanya jambo la maana sanaNa covid19/21 inamnyemelea. Baradhuli mkubwa nunda mla watu huyu.
DEDAondoke nani?
Ndio mmebakiza kuwaombea wana ccm wafe ili wakifa wote muingia ikulu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki ni kiwango kikubwa mno cha kukata tamaa
DC wa Kino naye vipi??Angemtumbua wa Temeke ingefaa sana. Nadhani nae hana siku nyingi
Sasa kama una pata raha mtu akifa unatofauti gani na mtu anaeua?Hamna mwenye muda mchafu wa kuwaombea mfe, bali mkifa tunapata raha ya ajabu. Unafikiri kwakuwa nyie mnawauawa wapinzani ili madarakani mnadhani, basi kila mtu ana mtazamo wa mauaji ili akae madarakani?
Tarehe aliyosababosha kifo cha akweline ndio hiyo hiyo ameliwa kichwaRais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, ndugu Aron Titus Kagurumjuli
Mkurugenzi mpya atateuliwa baadaye.
Maendeleo hayana vyama!
Kinondoni ifumuliwe yote Hadi Mkuu wa Idara ya Mipango Miji na Mweka Hazina.Kaliwa vichwa bado kuna kaorodha kanakuja
Unakumbuka sakata ya idara ya ardhi ilala na kinondoni...wakahamisha wafanyakazi karibu woteKinondoni ifumuliwe yote Hadi Mkuu wa Idara ya Mipango Miji na Mweka Hazina.
Jizi limetumbuliwa ila halitokufa njaa maana limejijenga S
Alitakiwa afunguliwe na kesi ya uhujumu uchumi kabisaJizi limetumbuliwa ila halitokufa njaa maana limejijenga sana!!
Huyu Mkurugenzi hakuwahi kusikia katazo la boss wake mapema 2016 kuhusiana na bizo beach kwamba ziachwe kwaajili ya watanzania wote matajiri na masikini, majipu mengine ya kujitakiaRais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, ndugu Aron Titus Kagurumjuli
Mkurugenzi mpya atateuliwa baadaye.
Maendeleo hayana vyama!
Apokonywe majumba yake kayapataje kwa mshahara ule bila kuiba Kodi zetuAlitakiwa afunguliwe na kesi ya uhujumu uchumi kabisa
Good news👍👍💯Anaruka ruka tu baada ya corona kumfanya vibaya na hivyo BEBERUS kumuanika. Nasikia na Waarabu nao wanafuata nyayo za BEBERUS.