share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega..
Na covid19/21 inamnyemelea. Baradhuli mkubwa nunda mla watu huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega..
Forodhani Zanzibar ni kusafi na serikali pale inafanya biashara na ni bure wengine kutembea au kukaa kwenye 'vimbwete'.Huyo kaonewa tuu sikuona sababu ya kumtengua maana kama ni pale coco alikuwa anafanya lile Rais alilosema la kujenga sehemu za watu kupumzikia..
Leo Magufuli kawa mungu wenu kwa kutekeleza mlicho muomba!Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mmefikia huku?
2025 kipigo kiko palepale! Badala ya kushughulika na ishu muhimu zitakazo wapa ushindi mnawaza wafe?
Ujinga kweli mzigo
Ubunifu kwenye kulipisha wananchi kufika eneo la umma, public space?Huyu mzee Bwana yaani hata haelewi nn anataka, anasema watu wakusanye, watu wanatengeneza mazingira wezeshi ambayo mtanzaniq atatoa kodi akiwa ameridhika na huduma anayopata yeye anataka watu wakamukiwe makodi yale yale ya miaka 47. Uibuaji wa vyanzo vipya vya mapato na ambayo ni rafiki kwa mlipa kodi ndo maendeleo halisi!...
Aondoke nani?Ok Lukuvi amesimamisha uzio..... loh na corona hii na frustrations lazima aondoke
Ndio mmebakiza kuwaombea wana ccm wafe ili wakifa wote muingia ikulu?Ndiko mlikotufikisha hivyo usishangae chochote. Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, wapiga kura hawawezi kufika hata milioni 4. Mtapiga kura nyie mnaofaidika na huu ushetani wa awamu hii, kwani tumejiridhisha pasi na shaka kuwa hamna uwezo tena wa kushindana kwa njia ya box la kura zaidi ya ulevi wa madaraka.
Anaogelea sana hapo au?Coco beach imemponza
Damu ya AKWILINA itamlilia Yeye na Kizazi ChakeBinadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega...
Kwanza alitakiwa achukuliwe kabisa na changamoto ya upumuajiBinadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega...
Bora wachukuliwe na changamoto ya upumuaji, mashetani wakubwaNdio mmebakiza kuwaombea wana ccm wafe ili wakifa wote muingia ikulu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki ni kiwango kikubwa mno cha kukata tama
Tena alaaniwe huko alikoHuyu ndio alisababisha tuchangishane buku buku kuwatoa akina Mdee na Mbowe jela?
Bora angeondoka na changamoto ya upumuajiDamu ya AKWILINA itamlilia Yeye na Kizazi Chake
Naona mnampigania kwa bidii sana.Paskali akikosa teuzi hizi mbili za uDED Korogwe na Kinondoni aende tu kujiosha baharini kuondoa Gundu.
This is a must teuzi for Paskali. Its NOW or NEVER!
Kipigo cha kutumia TISS CCM na kina mambo sasa ukijulisha na kura za kwenye masandarusi? Huoni hata soni?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mmefikia huku?
2025 kipigo kiko palepale! Badala ya kushughulika na ishu muhimu zitakazo wapa ushindi mnawaza wafe?
Ujinga kweli mzigo