King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Jizi limetumbuliwa ila halitokufa njaa maana limejijenga sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimzeeshe PASKALI hajafika huko! Labda Le Mutuz.Pascal Mayalla ana miaka 60 plus.
Uteuzi anaosubiria ni ubunge viti maalumu!
Hongera Sana magufuli kwa Kumtumbua Mwizi.Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, ndugu Aron Titus Kagurumjuli
Mkurugenzi mpya atateuliwa baadaye.
Maendeleo hayana vyama!
Le mutuz ana 71!Usimzeeshe PASKALI hajafika huko! Labda Le Mutuz.
Na hisi huu ndio muda wakeSijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? [emoji848]
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Kuna bwana aisema akitumaliza sisi atarudi kwenu msijione mpo salamaEwe Mh Raisi wetu, tunakuomba pía umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda
Kama issue ni hiyo coco beach yeye DC atapona kweli?Huyu mzee Bwana yaani hata haelewi nn anataka, anasema watu wakusanye, watu wanatengeneza mazingira wezeshi ambayo mtanzaniq atatoa kodi akiwa ameridhika na huduma anayopata yeye anataka watu wakamukiwe makodi yale yale ya miaka 47. Uibuaji wa vyanzo vipya vya mapato na ambayo ni rafiki kwa mlipa kodi ndo maendeleo halisi!!
Ukiwa mbunifu shida, ukiwa kilaza shida.... hakuna jema kwa huyu baba.
Anachojua yy atumbue wajinga wachache wamfisie siku moja wakati atawaumiza miaka 100.... tabu tupu!!!
Ila alishaula na mali kavuna. Maana kudumu kwenye hizi nafasi za teuzi iwe kwa mwema au mbaya hakuna uhakika. Hata kama ni mwana Tea Sea lakini kitakachomwandama maisha yake yote ni kile kifo cha yule binti mwanachuo Aquilina.Hiyo sawa lkn ile nafasi yake aliyo kuwa akihidumu kipindi kile cha uchaguzi na ikapelekea vurugu ametolewa tena kwa kutumbuliwa.
Dc ndiye kanukisha kwa Waziri baada ya kupita JPili na kukuta uzioKama issue ni hiyo coco beach yeye DC atapona kweli?
Route za private transport hizo ziko safi??Ewe Mh Raisi wetu, tunakuomba pía umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda
Wa Temeke wanajuana. Aliiba mabox ya kura Kakonko kuipa Ccm ushindi. Yaani mkurugebzi wa Temeke ana makando kando mengi kuliko wakurugenzi wote ila mkuu hujifanya hayaoni.Angemtumbua wa Temeke ingefaa sana. Nadhani nae hana siku nyingi
Malipo ni hapa hapaHiyo sawa lkn ile nafasi yake aliyo kuwa akihidumu kipindi kile cha uchaguzi na ikapelekea vurugu ametolewa tena kwa kutumbuliwa.
Huyo "shetwani"alisabababisha kifo cha Akwilini ambaye hakuwa na hatia hata kidogo........Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.
Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.
Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.
Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.View attachment 1704042
Upo sahihi sana ndugu,Mungu ndiye shahidi namba moja muaminifu popote pale ulimwenguniHuyo "shetwani"alisabababisha kifo cha Akwilini ambaye hakuwa na hatia hata kidogo........
Kasababisha akina Mbowe wakanyolewa vipara kwa kuhukumiwiwa bila hatia!
Hakika Mungu ni mkubwa na huwa hadhihakiwi na amejibu kuwa muhalifu aliyestahili KUHUKUMIWA ni yeye
Atapewa kazi nyingine Coco beach au breweriesAtapangiwa kazi nyingine
Sasa hivi atakuwa ashapandisha pressure, na hata changamoto ya upumuaji inaweza ikamkuta na kumfagilia mbaliMalipo ni hapa hapa
Hicho kifo ndiyo mateso yake makuu maishani.Ila alishaula na mali kavuna. Maana kudumu kwenye hizi nafasi za teuzi iwe kwa mwema au mbaya hakuna uhakika. Hata kama ni mwana Tea Sea lakini kitakachomwandama maisha yake yote ni kile kifo cha yule binti mwanachuo Aquilina.
Kwa muumba wakeAtapewa kazi nyingine Coco beach au breweries