Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Aendelee kuvua samaki sato tu ili mradi maisha yanasongaSijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? [emoji848]
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee kuvua samaki sato tu ili mradi maisha yanasongaSijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? [emoji848]
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Labda mtapumzika kidogo kuitajataja coronaTumbua tumbua imeanza tena tulikuwa tumeshasahau!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mmefikia huku?Mkuu alitakiwa afe kinyama wangalau, kisha familia yake na waliomtuma waingie mitandaoni wachukue mrejesho wa maisha ya ndugu/kibaraka wao.
Pascal biashara yake ilishaisha kitambo mnoo na mpeni taarifa kuwa mwaka huu hakuna sabasaba wala nanenane.Sijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? 🤔
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Safi sana Mungu anatuma mapigo kupitia mtumishi wake MagufuliMungu ameanza kumshusha mapigo maana hakuna aliye juu ya Mungu.
Siku zote chadema ni debe tupu mkuuHee CDM kweli shida.....yaani mmelia ndo mkurugenzi k'ndoni katumbuliwa..! Kwa hiyo sio katumbuliwa sababu ya kugeuza matumizi ya 'open space..! Basi Mkiongeza kilio wakurugenzi wengine wakae chonjo..! Akili za kinyumbu.
Huyo mjinga ndo alisababisha kifo cha akwilinaWameshasahau kazi aliyoifanya wakati wa uchaguzi
Jinamizi la Akwilina litamfuata hukohukoAtapangiwa kazi nyingine
Ameitengua na corona pia au ndo atarudi keza mbochi tena
kuna viongozi kwakweli sio wachapa kazi, kuna baashi ya wilaya za Mkoa wa DSM zimedorora utadhani hazina wakuu wa wilaya wala wakurugenzi.
kuna baadhi ya wilaya wakuu wake ni wachapa kazi kweli kweli baadhi yao wamesinzia, bora kuweka wengine tu ili mambo yaende
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kafanyaje? Kaafukuzwa kazi au?Jinamizi la Akwilina litamfuata hukohuko
Kwa Magu hakuna kinachoshindikana hata una miaka 70 unapewa tu ukurugenzi!Pascal Mayalla ana miaka 60 plus.
Uteuzi anaosubiria ni ubunge viti maalumu!
Alikua na mwanzo mbaya Sana dhidi ya huyu mwambaSijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? 🤔
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Unajisifia kumpiga teke chura?Subiri yajayo sijui utaandika nnNaona umejiunga leo hii baada ya homeboy wako kutemeshwa kibarua