Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu alikupatia akili ili ufikirie na hatimaye kufanya maamuzi ya kukusaidia maishani mwakoHee CDM kweli shida.....yaani mmelia ndo mkurugenzi k'ndoni katumbuliwa..! Kwa hiyo sio katumbuliwa sababu ya kugeuza matumizi ya 'open space..! Basi Mkiongeza kilio wakurugenzi wengine wakae chonjo..! Akili za kinyumbu.
Duh! Pamoja na matatizo yote haya tuliyonayo, bado kuna watu wanaomba njaaa!Nipeni Maaayaaalaaa!
Bado hyu mama wa Ubungo manicipal
Coco beach!Kafanya nini tena?
Kwani kilugha si kinaruhusiwa pia?Dawa ni ndogo aende tocha akapige magoti atahurumiwa ajifunze kwa wenzake
Mkuu hapangiwi ujue!!! , kauli Kama hiI ndo zinazidi kumpoteza mayalla , maana mnampangia mukulu cha kufanya.Paskali akikosa teuzi hizi mbili za uDED Korogwe na Kinondoni aende tu kujiosha baharini kuondoa Gundu.
This is a must teuzi for Paskali. Its NOW or NEVER!
That's my point too, tukikaa kimya mayalla fasta anaula, hii ya kupiga kelele ndo tunazid kumtia njaaa mwenzetu,Mnamchongea sana Paskali ndio maana hateuliwi, hebu kaeni kimya muone kama hajapewa u RC, japo sijui kama ana uhitaji.
Tumeonya mara kadhaa kwamba Shetani hana rafiki lakini tukapuuzwa .Hahahaaaa....... Chadema bhana!
Na yule mama wa Jiji, SiporaBado hyu mama wa Ubungo manicipal
Walijisahau alipowaambia hatatumbua yeyote kipindi hiki cha awamu yake ya mwisho.Tumbua tumbua imeanza tena tulikuwa tumeshasahau!
Toilet paper ikitumika hutupwa pamoja na kinyesiWameshasahau kazi aliyoifanya wakati wa uchaguzi
Hasa kama ni kutoka ile kandapendwaAtapangiwa kazi nyingine