johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Pascal Mayalla ana miaka 60 plus.Paskali akikosa teuzi hizi mbili za uDED
Uteuzi anaosubiria ni ubunge viti maalumu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla ana miaka 60 plus.Paskali akikosa teuzi hizi mbili za uDED
Ha haa! kuna kitu cha Leslie Mbena Aka Msemakweli Chakubanga.Sijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? 🤔
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Naisi Ishu ya Coco Beach,alioibuwa Mweshimiwa Lukuvi Leo!kafanya nini tena?
Naona mluguru umekuja kujipigia promo 😅Ha haa! kuna kitu cha Leslie Mbena Aka Msemakweli Chakubanga.
Kweli kabisa, mkuu P, hana uhitaji na haya mavyeo, yeye ni mtu tu wa tasnia ya habari! Anabalansisha tu story za maisha!Mnamchongea sana Paskali ndio maana hateuliwi, hebu kaeni kimya muone kama hajapewa u RC, japo sijui kama ana uhitaji.
Zamu Yake Sasa HiviHahahaaaa.......Pascal yuko kimya sana!
Umesikika vuta subira!Ewe Mh Raisi wetu, tunakuomba pía umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda
Yule meya hayumo kweli kwenye mchnggHakika!
Hakika!
Kasema yeye ni mgeni.....akina Benja ndio waliopiga!Yule meya hayumo kweli kwenye mchngg
Ina maana haujui
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Huko ni kumwonea DED,Ewe Mh Raisi wetu, tunakuomba pía umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda