Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni

Ewe Mh Raisi wetu, tunakuomba pía umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda
Nyie watu nyie. Hawa watu wote wako kiupigaji. Haya ndiyo madhara ya kuwatumia kufanya hujuma za uchaguzi na kukandamiza upinzani. Ukishamtumia mtu kufanya maovu na yeye anakudharau na kujiamua kujitengenezea future yake.

Kila siki nasema awamu hii ndiyo yenye upigaji kuliko nyingine zote. Hata ningekuwa mimi. Unanitumia kufanikisha uovu wako halafu niwe mwadilifu? Nitakula bila kusaza potolea mbali ukinitumbua nakuwa nimeshaweka akiba yangu.
 
Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.

Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.

Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.

Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.
Screenshot_20210216-214555.jpg
 
Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.

Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.

Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.

Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.View attachment 1704042
Atapangiwa kazi nyingine
 
Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.

Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.

Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.

Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.View attachment 1704042
Mbona kama ana vina 7 na marehemu mtikila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom