johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Nimekuelewa bwashee!Huko ni kumwonea DED,
Barabara za Halmashauri zipo chini ya TARURA, madiwani ambao ndio wasimamizi wa mkurugenzi hawanajui hata budget ya TARURA na nadhani hata hawapaswi wajue....