We ni mgeni wa hizi dramaKwa tangazo kama lile
Unamtenguaje Katibu unamuacha Waziri husika.?
Kwenye hili alitakiwa ajitumbue hadi yeye mwenyewe
Hi kiki imegoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mgeni wa hizi dramaKwa tangazo kama lile
Unamtenguaje Katibu unamuacha Waziri husika.?
Kwenye hili alitakiwa ajitumbue hadi yeye mwenyewe
Hi kiki imegoma
Hilo baraza la mawaziri wanapata wapi taarifa/nyenzo/inputs za kujadili sera kwenye baraza hilo? (Nawaza juu ya huyo Naibu Katibu Mkuu na TOR zake)Uamuzi wa kubadili sera usingeweza kufanyika bila ridhaa ya baraza la mawaziri
Kwa nini hawakusoma alama za nyakati...!?Naibu katibu mkuu anatenguliwa wanaachwa katibu mkuu na waziri wakati tangazo lilikuwa la kisera
Kuanzisha stashahada, sio kufuta astashahadaIpo kwenye ilani yao wanatumbuana kimaigizo
Kwa nini mkuu?We ni mgeni wa hizi drama
Picture Yake Tafadhali TumuoneArudi sasa tufanye harakati, maana aliwekwa hapo kuzibwa mdomo, mama ana ngenga huyu haipendi CCM toka moyoni mwake.
Kashauriwa hivyo ama?Magufuli mzee wa kutengeneza tatizo kisha anajifanya kulitatua kwa mbwembwe.
Kumbe.......Ndiyo Maana....Njaa....Haina Bounce.....Aliahidi ajira 13.000 za walimu. Akajikuta uwezo wa kuwalipa na kampeni hizi ni mdogo. Aliamua kutoa kisingizio cha kutoajiri walimu wa vyeti baadae akaona itamharibia kisiasa ná uchaguzi huu.
Hujui drama za MagufuliKwa nini mkuu?
Tumechoka na hizi tenguzi sasa tunataka maendeleo.Nchi ya viwonder haaahaaahaa.
Huyu mzee kamtoa kafara mama wa watu for political gains duhhh
Exactly!Maamuzi mazito kama yale ni ngumu kuwa maamuzi bila Baraka toka juu, anawatumia wenzake kama mpira
Ni mbinu ya kichovu sana! Sasa kwa vile mama huyu hatopata nafasi ya kujieleza ndio imeisha hiyoHuyu mama katolewa kafara, inawezekana vipi jambo kubwa kama hili lenye maslahi namna hii lifanyikie kimya na mtu binafsi chumbani ambapo viongozi wengine wote hawajui na hawajawahi kushiriki taratibu zake?