Kama alivyomtumia Lugola eti Lugola kasign mkataba eti yeye hajui. Wakati ule Kigwangala anagombana na mkenda wizara ya maliasili alijigamba kila taarifa analetewa na wanausalama lakini kwa Lugola eti hakujua. ANATUKERAKabisa! Huyu mama katolewa kafara. Uamuzi wa kubadili sera usingeweza kufanyika bila ridhaa ya baraza la mawaziri ambapo Rais ni mwenyekiti, wizara inatekeleza tu. Sasa hapa eti tunaaminishwa kwamba uamuzi huo ulifanya na NAIBU katibu mkuu? Wala sio katibu mkuu au naibu waziri au waziri? Hizi hadaa nyingine hapana..