Punguza ujuaji hujui ya kwamba mpaka Raisi kufika katika uwanja huo wa ndege ni kwa ulishafanyia surveillance wiki moja kabla..
Na kila Raia ambao wapo hapo kumlaki Mh. John Pombe Magufuli washapangwa, so kwa namna yoyote hakuna wa kumdhuru hapo..
Mwisho, tuache mihemko vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viko vizuri.
Sent using
Jamii Forums mobile app