BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;
"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;
"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”