Uchaguzi 2020 Rais Magufuli avitaka Vyombo vya Ulinzi kutotumia nguvu pasipostahili wakati wa Kampeni na Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli avitaka Vyombo vya Ulinzi kutotumia nguvu pasipostahili wakati wa Kampeni na Uchaguzi

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.



Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.

"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;

"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
 
"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;
Kwa nini CHADEMA na ACT-Wazalendo wasitengeneze bango kubwa lenye wino wa dhahabu kuhusu maneno haya yaliyosemwa hapa na bango hilo liwe sehemu muhimu ya Kampeni zao hadi Oktoba?
"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu. …nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Maneno kama haya anayazungumza kutoka moyoni Rais Magufuli?

Angetawala miaka hii mitano kwa kufuata uamini wake huu tungekuwa tofauti sana na jinsi tulivyo sasa.

Sasa ni wakati wa kuhakikisha kuwa maneno haya sio hadaa tu za kutafutia kura na kusahaulisha yaliyofanyika. Ni kazi ya vyama vya upinzani kunyanyua mabango yao kuwaonyesha wananchi ni jinsi gani maneno matupu yasivyokuwa na vitendo kila mara wanapofanyiwa vurugu na kunyimwa haki.

Kama ndani ya CCM wameweza kufanya uchambuzi wa kuwapata wagombea kwa haki, kwa nini 'Tume' ishindwe kufanya kazi hiyo kwa ufanisi zaidi nchi nzima wakati wa uchaguzi mkuu?
 
Najua hilo Mkuu, lakini TUJIULIZE swali hili kama ni HALALI kwenye uchaguzi wao wa ndani, kwanini iwe HARAMU kwenye uchaguzi Mkuu?

mkuu unadhani watafanya kama walivyofanya wao juzi? yaani juzi ndio tulikua tunaonyeshwa kura zinavyotakiwa kupigwa, (wezi ni ngumu kuibiana) sasa hii staili hawawezi kuipeleka kwenye system maana wanajua haki itafuatwa kwa kiasi kikubwa hivyo watapigwa chini!
 
Chadema nao wanapaswa kuonesha demokrasia ktk kura za maoni km walivyofanya CCM. Tuna la kujifunza hapo juu ya demokrasia ya kweli.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Najua hilo Mkuu, lakini TUJIULIZE swali hili kama ni HALALI kwenye uchaguzi wao wa ndani, kwanini iwe HARAMU kwenye uchaguzi Mkuu?
bao la mkono ambalo mfungaji hua anamhadaa refa, mkuu unataka watu wasiende ikulu?
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂Ni lazima tuendelee KUWASHINIKIZA Mkuu. Kauli zao zimeanza kubadilika kufuatia MASHINIKIZO yetu. Hakuna aliyetegemea Mkapa aliyewaita wapinzani MALOFA 2015 leo hii aongee lugha moja na MALOFA 😂😂 ya kudai TUME HURU.

bao la mkono ambalo mfungaji hua anamhadaa refa, mkuu unataka watu wasiende ikulu?
 
Wakati mwingine huwa anaongea vizuri sana kama malaika,tatizo linakuja kwenye utekelezaji ambapo kuwa upande wa upinzani ndo kunatafusiliwa kuwa ndo kukosa usitarabu kwenyewe na muhusika anatakiwa achukuliwe hatua.
 
Kwa nini CHADEMA na ACT-Wazalendo wasitengeneze bango kubwa lenye wino wa dhahabu kuhusu maneno haya yaliyosemwa hapa na bango hilo liwe sehemu muhimu ya Kampeni zao hadi Oktoba?

Maneno kama haya anayazungumza kutoka moyoni Rais Magufuli?

Angetawala miaka hii mitano kwa kufuata uamini wake huu tungekuwa tofauti sana na jinsi tulivyo sasa.

Sasa ni wakati wa kuhakikisha kuwa maneno haya sio hadaa tu za kutafutia kura na kusahaulisha yaliyofanyika. Ni kazi ya vyama vya upinzani kunyanyua mabango yao kuwaonyesha wananchi ni jinsi gani maneno matupu yasivyokuwa na vitendo kila mara wanapofanyiwa vurugu na kunyimwa haki.

Kama ndani ya CCM wameweza kufanya uchambuzi wa kuwapata wagombea kwa haki, kwa nini 'Tume' ishindwe kufanya kazi hiyo kwa ufanisi zaidi nchi nzima wakati wa uchaguzi mkuu?
Mawazo mazuri sana ila watapinga na hawatokubali maana wamezoea kuiba kura,wazoea vya kunyonga.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.

jpm_0.jpg

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.

"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;

"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Anaweza sema hivyo Ila katika Hali ya wao kujipendekeza wakafanya anachokataza.
 
WANAFIKI ndivyo walivyo Mkuu. Kauli zao na matendo yao ni kama usiku na mchana, havifanani hata chembe!

Wakati mwingine huwa anaongea vizuri sana kama malaika,tatizo linakuja kwenye utekelezaji ambapo kuwa upande wa upinzani ndo kunatafusiliwa kuwa ndo kukosa usitarabu kwenyewe na muhusika anatakiwa achukuliwe hatua.
 
WANAFIKI ndivyo walivyo Mkuu. Kauli zao na matendo yao ni kama usiku na mchana, havifanani hata chembe!
Sasa ni wakati wa kuwa anakumbushwa haya maneno yake kila mara anapofanya kinyume chake.

Ni lazima kutafuta njia ya kufanya hivyo, kwa sababu wananchi watakumbuka kwa haraka wanapokumbushwa mapungufu kimatendo, kinyume na maneno matupu yanayotumika kuwahadaa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.

jpm_0.jpg

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.

"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;

"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Kwenye majukwaa amesema hivyo. Lakini badae tutasikia ni maelekezo kutoka juu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Najua hilo Mkuu, lakini TUJIULIZE swali hili kama ni HALALI kwenye uchaguzi wao wa ndani, kwanini iwe HARAMU kwenye uchaguzi Mkuu?
Uchaguzi mkuu una kanuni zake ambazo zipo kikatiba. Huwezi kulinganisha vitu viwili tofauti. CCM ni kama chama kingine chochote kinaweza kupanga kufanya kile wapendacho, lakini Tanzania tunafuata katiba hawawezi kushinikiza yale wanayoyafanya kwenye chama chao ndio yawe kwenye katiba ya JMT.

Si kila siku mnalalamika, kumbe CCM mmeona kuna demokrasia ya kweli? Huko kwa mlevi wa konyagi huwa hamuongei Demokrasi bali ni majungu na propaganda.
 
Kabisa Mkuu kanyanyasa, kadhalilisha na kaumiza watu wengi sana kwa miaka mitano. Wengine wamepoteza ajira kama CAG Assad, wengine wamepotea akina Azory na Ben wengi wamekufa, kubambikiwa kesi etc, sasa anataka kujifanya MTAKATIFU!
Majungu hayo, CAG muda wake ulikwisha. Mtalia hadi mtoe chozi la damu JPM na CCM ndio majority nyie mlie tu. Mtaendelea kuwa minority hadi siku ya kiama.
 
Back
Top Bottom