Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Ikulu ya walevi wa Konyagi!Lissu tunaye ikulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu ya walevi wa Konyagi!Lissu tunaye ikulu.
Anatumia usahaulifu wa watu; na pia, nadhani maneno kwake hayana maana kubwa. Anayatamka tu yasikike bila ya kuwepo na dhamira ya kuyaishi maneno hayo.Kabisa Mkuu kanyanyasa, kadhalilisha na kaumiza watu wengi sana kwa miaka mitano. Wengine wamepoteza ajira kama CAG Assad, wengine wamepotea akina Azory na Ben wengi wamekufa, kubambikiwa kesi etc, sasa anataka kujifanya MTAKATIFU!
Kwa sababu kimewazidi kete.Ha ha h ha ha, CCM lazima watoke nduki wakiusoma uzi huu...ati kura wazi wazi kama hizi za kwao za maoni...uwiii.
Hakuna chama cha kisanii Africa kama CCM.
Mbona mtanyoka tu mwaka huu.Ikulu ya walevi wa Konyagi!
Na hizi ndizo ajenda wanazotakiwa wapinzani wazieleze vizuri kabisa kwa wananchi wazielewe vizuri kabisa.Uko sawa kabisa Mkuu, awamu ya pili itakuwa ni balaa tupu na ndiyo sababu akataka sheria ya KUTOSHTAKIWA kwa “maovu yake” ambayo bila ya shaka YATAKITHIRI.
Nadhani kuna jambo linaendelea huko ndani kwao...Kwa nini CHADEMA na ACT-Wazalendo wasitengeneze bango kubwa lenye wino wa dhahabu kuhusu maneno haya yaliyosemwa hapa na bango hilo liwe sehemu muhimu ya Kampeni zao hadi Oktoba?
Maneno kama haya anayazungumza kutoka moyoni Rais Magufuli?
Angetawala miaka hii mitano kwa kufuata uamini wake huu tungekuwa tofauti sana na jinsi tulivyo sasa.
Sasa ni wakati wa kuhakikisha kuwa maneno haya sio hadaa tu za kutafutia kura na kusahaulisha yaliyofanyika. Ni kazi ya vyama vya upinzani kunyanyua mabango yao kuwaonyesha wananchi ni jinsi gani maneno matupu yasivyokuwa na vitendo kila mara wanapofanyiwa vurugu na kunyimwa haki.
Kama ndani ya CCM wameweza kufanya uchambuzi wa kuwapata wagombea kwa haki, kwa nini 'Tume' ishindwe kufanya kazi hiyo kwa ufanisi zaidi nchi nzima wakati wa uchaguzi mkuu?
Nakumbuka pia aliyosema Benjamin Mkapa, 'sponsor' wa Magufuli kuhusu uhitaji wa kuwepo na 'Tume Huru ya Uchaguziwa. Hii inaweza kuwa 'connection' inaweza kuwa imeanzia hapo, kama haya maneno yake ni ya kweli?Nadhani kuna jambo linaendelea huko ndani kwao...
Yawezekana yameanzia hapo au juu yake kidogo maana tetesi zasema "wale wakubwa zetu hawatutazami jicho jema!"Nakumbuka pia aliyosema Benjamin Mkapa, 'sponsor' wa Magufuli kuhusu uhitaji wa kuwepo na 'Tume Huru ya Uchaguziwa. Hii inaweza kuwa 'connection' inaweza kuwa imeanzia hapo, kama haya maneno yake ni ya kweli?
Lakini juu ya yote haya, ni watu kutopoteza umakini kwa kulainishwa na maneno matamu.Yawezekana yameanzia hapo au juu yake kidogo maana tetesi zasema "wale wakubwa zetu hawatutazami jicho jema!"
Tunapenda sana soga na maneno ya kuburudisha, majungu na fitna ndo maana UKWELI HATUUPENDI NA HALISI KWETU HAINA MAANA BALI FAKE!!Lakini juu ya yote haya, ni watu kutopoteza umakini kwa kulainishwa na maneno matamu.
Wakati huu ni kukumbuka hatari zinazotukabili kama taifa endapo hali itaendelea kama ilivyoanza 2015 hadi leo hii.
Tupo kwenye hatari kubwa.
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;
"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Rais Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu mahali ambapo hapastahili kutumia nguvu wakati wa kampeni na uchaguzi wa mwaka huu, huku akiamini kuwa kampeni zote zitafanyika kistaarabu kwa amani.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizindua Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jijini Dodoma.
"Ndugu zangu wanasiasa wenzangu kama ambavyo imekuwa kawaida yetu, niwaombe uchaguzi huu uwe wa kipekee kwa kufanya kampeni zetu kwa upole, kumtanguliza Mungu, kwa kujua sisi ni Taifa la Tanzania na kwa kujenga umoja wa Taifa letu" amesema na kuongeza kuwa;
"Ninaamini vyama vyote vitafanya kampeni kistaarabu, basi tukawe wavumilivu na ni viombe vyombo vya dola visitumie nguvu pasipostahili, lakini hata nyinyi wanasiasa msiwachokoze wale walinda amani, msiwafanye watumie nguvu nawathibishie nitatoa ushirikiano kwa vyama vyote ili twende na maadili yetu kama tulivyofundishwa na Baba wa Taifa, Haya Mwl. Julius Kambarage Nyerere,”
Mzee JK alipata kusema kwamba kikwao kuna msemo Zilongwa mbali, zitendwa mbali..!!"Kwasababu wewe Ni nafsi lawama