Uchaguzi 2020 Rais Magufuli awaahidi wafanyabiashara wa mazao Dumila Tsh. milioni 100 za ujenzi wa mabanda ya kisasa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli awaahidi wafanyabiashara wa mazao Dumila Tsh. milioni 100 za ujenzi wa mabanda ya kisasa

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
697
Reaction score
1,358
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.

1.jpg


2477160_Magufuli2.jpg

2.jpg
 
Atajitetea kwamba si Rushwa kwa sababu bado hajachukua na kurudisha form ya URAIS toka NEC.

Sheria na zile kanuni 16 za kiwekeana mapingamizi zinaanza baada ya kurudisha form NEC.
Ina maana Lissu halifahamu hili?
 
Atajitetea kwamba si Rushwa kwa sababu bado hajachukua na kurudisha form ya URAIS toka NEC.

Sheria na zile kanuni 16 za kiwekeana mapingamizi zinaanza baada ya kurudisha form NEC.
[emoji56][emoji56][emoji56]???
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John.Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanya biashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo Hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.View attachment 1527816View attachment 1527817
Lissu anamsoma tu na hati yake ya mashitaka.

ticking and crossing the boxes kwa pingamizi... bring them on!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John.Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanya biashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo Hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.View attachment 1527816View attachment 1527817
Hii ni rushwa ya wazi kabisaaa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.

Baridi la asubuhi silipendi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.

Amekwishachelewa, roho za Watanzania ziko na Tundu Antipas Lisu. Kwani si anapita hapo siku zote na anawaona mazingira ya biashara waliyonayo. TUNDU LISSU Juu
 
Back
Top Bottom