thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
NdiyoIna maana Lissu halifahamu hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoIna maana Lissu halifahamu hili?
Mkuu naomba nikusahihishe kdogo hiyo ni takrima sio hicho ulichotaja, niamini mimiHii ni rushwa ya wazi kabisaaa.
Ni kweli mkuu. Na sababu moja ni ili aweze kutoa hizo 100mill na kusimamia matumiz yake. Tuache wivu jaman. Maendeleo hayana chama.Hicho chuma hakina mpinzani kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu maana ana sababu na hoja zenye mashiko kwa Watanzania kumpa tena ridhaa ya kuwaongoza
Tanzania’s President Says Country Is Virus Free. Others Warn of DisasterHicho chuma hakina mpinzani kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu maana ana sababu na hoja zenye mashiko kwa Watanzania kumpa tena ridhaa ya kuwaongoza
Lissu ni muhanga wa dementia!Ina maana Lissu halifahamu hili?
Mkuu unamaanisha asiguswe?Rushwa ikowapi sasa? Yaani Rais aache kutatua matatizo ya watu kisa Rushwa?
Acha amirijeshi mkuu aache kufanya mambo ya muhimu?
Hapo kwenu sauti zinazotoka master bedroom hawajatosheka tu?Alipiga kampeni miaka mitano hajatosheka tu?.....
Mkuu ingekuwa ni rushwa takukuru wangeshafanya yao. itakuwa wameshajiridhisha ni takrima labda.Anaendelea kugawa rushwa tuu hasikii.
Ni mtoto wa yule Lowassa mwenye kutoa rushwaSafi sana Rais wa wanyonge
Lissu ni kichaa na dawa yake ni kuhamisha makorokoro yake!Asubirie pingamizi toka kwa Lissu
Hao takukuru hawajipendi?Mkuu ingekuwa ni rushwa takukuru wangeshafanya yao. itakuwa wameshajiridhisha ni takrima labda.
...kwa kweli!Mwaka huu kwa mara ya kwanza tutakua na uchaguzi Tanzania