Uchaguzi 2020 Rais Magufuli awaahidi wafanyabiashara wa mazao Dumila Tsh. milioni 100 za ujenzi wa mabanda ya kisasa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli awaahidi wafanyabiashara wa mazao Dumila Tsh. milioni 100 za ujenzi wa mabanda ya kisasa

Nyie mmeo la rushwa tuu? Mimi huku nawaza kwa sauti kubwa hapa kuwa KWELI MKUU WA NCHI ANUNUE MUHINDI NJIANI NA AANZE UPIGA HAPO HAPO?
Aaah sema haya maigizo ukitaka pata piga *255*Tz#
Kwani Mbowe Mugabe FARU JOHN anazinywea wapi!
 
Mkuu ingekuwa ni rushwa takukuru wangeshafanya yao. itakuwa wameshajiridhisha ni takrima labda.
Takukuru hawahawa aliokua anamfokea boss wao hadharani huku akimwambia tena usifanye nijute kukupa hizo Nyota?Ndio waseme hio ni rushwa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.

View attachment 1527859
Ushamba kugawa fedha barabarani wakati kuna wizara husika na halmashauri, sijui hii tabia kaitoa wapi?
Nchi hii kuna wananchi hawajawahi kugaiwa hata mia , maana huwa rasi hapiti huko.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.

View attachment 1527859
Naona kampeni tayari zimeanza. Twende naye. Twende!
 
Back
Top Bottom