OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
huku ni kuweweseka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni chombo huru.hawaingiliwi na yyte.Hao takukuru hawajipendi?
Kwani Mbowe Mugabe FARU JOHN anazinywea wapi!Nyie mmeo la rushwa tuu? Mimi huku nawaza kwa sauti kubwa hapa kuwa KWELI MKUU WA NCHI ANUNUE MUHINDI NJIANI NA AANZE UPIGA HAPO HAPO?
Aaah sema haya maigizo ukitaka pata piga *255*Tz#
Naomba hii comment ihifadhiwe maana October tutairudia!Mwaka huu kwa mara ya kwanza tutakua na uchaguzi Tanzania
Takukuru hawahawa aliokua anamfokea boss wao hadharani huku akimwambia tena usifanye nijute kukupa hizo Nyota?Ndio waseme hio ni rushwa.Mkuu ingekuwa ni rushwa takukuru wangeshafanya yao. itakuwa wameshajiridhisha ni takrima labda.
SawaMkuu ni chombo huru.hawaingiliwi na yyte.
Ushamba kugawa fedha barabarani wakati kuna wizara husika na halmashauri, sijui hii tabia kaitoa wapi?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.
View attachment 1527859
Ushawahi muona Mbowe anakunywa Faru John barabarani? Ila post yako imenifurahisha sana hahahahaKwani Mbowe Mugabe FARU JOHN anazinywea wapi!
Hiyo lazima ije subiri utaona mkuuChadema na leo mje na hoja ya mhindi.
Naona kampeni tayari zimeanza. Twende naye. Twende!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wafanya biashara wa mazao eneo la Dumila na kuwaahidi kuwapatia shilingi Milioni mia moja kwa ajili ya Ujenzi wa mabanda ya kisasa, baada ya wafanyabiashara hao kumuomba Mhe. Rais waongezewe eneo hilo lililopo kando ya Barabara iendayo Dodoma.
View attachment 1527859