Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Pesa za walipa kodi ndizo hutekeleza maendeleo lakini CCM huwakomoa kwa kuzuia maendeleo kwa makusudi ni aina ya matumizi mabaya ya madaraka na pesa za walipa kodi acheni ubaguzi wa maendeleo
Hoja yenye mashiko kama itawakilishwa vizuri kwa wapiga kura, ila kwa tafsiri kuwa ni maendeleo ya vitu, hakika upinzani utakuwa unajiondoa mapema kwenye ushindani.
 
Amesema wachaguliwe watu ambao anaweza kuwawajibisha wakifanya ndivyo sivyo hata kuwafukuza kwenye Chama
Kwahiyo wabunge wote wa CCM wamefanya vizuri 2015-2020?Maana hajamfukuza hata mmoja kwenye chama! Maneno kama hayo yakibaguzi JPM alishayatoa huko Kilosa akidhani mbunge wa eneo hilo ni wa upinzani, anakuja kuambiwa akaona aibu! Hili jitu lina roho mbaya kiasili!
 
Du kwahiyo ili tupate maendeleo ni lazima tuchague wabunge wa CCM.
Amesema kwasbbu wakikosea anaweza kuwaajibisha ndani ya chama. Sasa hao wa Vyama vingine anawezaje? Hiyo ndo concept yake
 
Back
Top Bottom