Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Mungu ndo analipa Tu.


Tazama wakazi wa bukoba wanavyoteseka kisa walichagua upinzani
 
Co hataki matuc huyo hapendi kuambiwa ukwel huku akitoa kashfa kibao kwa wapinzani wake
Hizi kauli ni chafu! Kauli chafu nionavyo mimi ni sawa sawa na matusi, naye alisha tamka hataki matusi. Basi ni vyema tubaki na chama kimoja au lipi jema?
 
Wanakilwa msidanganywe kabisa
Bwege popote ulipo ukiiona video hii ijibu kwahoja, pakuanzia Anza na Jimbo la ndugai

Motomoto
 
Kwahiyo majimbo ambao wabunge wao ni ccm yanamaendeleo ? Mimi natokea jimbo la Ulanga magharibi ambapo kwa sasa ni Wilaya mpya ya Malinyi. Hili jimbo tangu lianze siasa za vyama vingi limetawaliwa na ccm kuanzia Mbunge Ngasongwa na hata Mponda ambaye amemaliza muda wake sasa hakuna kilichofanyika barabara kuanzia mwezi wa kumi na mbili mpaka mwezi sita huwa hazipitiki. Na hiyo hali ni ya muda mrefu yaani hata kabla ya mfumo wa vyama vingi
 
Miccm imejaaa na inazeeka na unafki wao
 
Zito aliwahi kusema washamba na malimbukeni wameshika hatamu za uongozi.

The worse is yet to come
 
Dawa ya mtu mbaguzi na mkabila ni kumpiga chini kwenye uchaguzi ujao.
 
Mtu akishakuwa mtu wa kubagua hata kikiwa chama kimoja ataanza kuangalia waliompa kura nyingi na chache.
Huyu jamaa msamiati 'Demokrasia' umemshinda kabisa.
Tatizo kubwa ni kukosa elimu, kujielewa na kukosa exposure.
 
Jamaaa anadhani watz wa leo bado hawajielewi,kama wale wa miaka hiyo, anatakiwa ajue kwamba pamoja na elimu mbovu inayotolewa, watu wameweza kupata uelewa wa kujua kipi sahihi na kipi sio sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…