Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Ukisikia dish limeyumba ndio kama hivyo
 
Hivi Serikali huwa haikusanyi kodi toka majimbo yenye wabunge wa upinzani? Ni swali tu.
 
Yeye amekua Mbunge wa Chato miaka zaidi ya 10 na stend ilimshinda kujenga adi leo akiwa Rais ndo analazimisha kuijenga kwa upendeleo tena.
Jamaa anarohoo mbaya adi ndugu zake wa karibu kabisa wanawashangaa waTanzania kwa kumchagua kuongoza nchi hii.
Jamaa ana rohoo mbaya haijawahi kutokea; nyie yawezekana mnamsikia tu.
 
Jamani nauliza hiviii, lile bunge jangili la wanyama pori lililokamatwa na silaha kibao utafikiri linaendesha kikosi cha waasi kule kanda ya ziwa lilishafukuzwa kwenye chama chetu pendwaa?
 
'…Si mmeamua kumchagua Bwege…shauri yenu na Bwege wenu…'
Hahahaha

Uchaguz huu chagueni kati ya Stendi au Bwege
 
Kuacha siasa,Kuna watu wana asili ya roho mbaya. Sasa za hivi ni hatari saana. Tumuombee huyu ndugu kwa kauli zake tata. Mbona ccm ilikuweoo toka enzi hizi lakini umaskini uko hadi hivi leo mfano dodoma
 
Yaani uzur na ubaya wa wananchi wanajua baya lipi na zuri lipi,lipi ubaguzi na lipi si ubaguzi kwa hiyo kila mmoja anaakili zake.
 
tunakazi kwelikweli,sasa asichukue Kodi kwenye majimbo ya wapinzani ,anachukua za nini,akusanye Kodi kwenye majimbo ya ccm
 
Muheshimiwa rais ulisema kwa kauli yako ata mwenyewe nayo kumbukumbu iyo kwamba ukisema maendeleo hayana chama Leo unawakataa walipa kodi wako kwamba stend ajenge walio mchagua imaana hii imenipa pcha moja ambayo n ya ukweli kwamba hawa uliwafanyia makusudi tu sina imani tena na wewe
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…