G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Hawanaga kitu kichwani hao achana naoHao waliomshauri rais mpaka kufukiza hatua ya kujenga msikiti hapo Chamwino ni waislam kama wewe sasa usijidai wewe kuwa unaujua uislam kuliko wao.
Wasaidizi wa karibu kabisa wa Rais ni waislam na wanayo haki ya kuswali wakiwa eneo Lao la kazi.