Rais Magufuli, awashushua TAKUKURU na Watendaji wote wanajipendekeza kwake na kupeleka miradi ya Maendeleo Chato

Rais Magufuli, awashushua TAKUKURU na Watendaji wote wanajipendekeza kwake na kupeleka miradi ya Maendeleo Chato

JOYOPAPASI

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
250
Reaction score
409

“Mnasema mnataka kujenga Ofisi ya TAKUKURU Chato nawashangaa, TAKUKURU Chato wana Ofisi ya Wilaya tuliwapa Jengo tena la ghorofa lipo juu milimani kwenye shamba la Marehemu Baba yangu ambalo alinyang’anywa, msizungumze mambo kwa kunifurahisha mimi na kujipendekeza this is not the way”-JPM wakati akizindua Majengo saba ya TAKUKURU Dodoma leo

“Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye Urais, Chato wana Ofisi ya TAKUKURU, mnajenga nyingine yanini? au ulifikiri nitafurahi ukisema Chato? mimi moyo wangu umeshakuwa Sugu, Spika anasema hakuna Ofisi Kongwa hiyo mliyotaka kujenga Chato mkajenge Kongwa” -JPM

Chato 1.jpg



Chato 2.jpg


Chato 3.jpg
 
Sijui ni nani anawadanganya kuwa Magufuli hana werevu wa kuzitambua hila mbalimbali.

Watendaji wanatakiwa wafanye kitu Chato kwa sababu kinahitajika kufanyika, siyo kwa kujipendekeza kwa Rais. Tena ingekuwa ni vema jibu lile la Rais lingeambatana na barua ya onyo na kushushwa cheo kwa kosa la kutaka kumhadaa Mkuu wa Nchi.
 
Sijui ni nani anawadanganya kuwa Magufuli hana werevu wa kuzitambua hila mbalimbali.

Watendaji wanatakiwa wafanye kitu Chato kwa sababu kinahitajika kufanyika, siyo kwa kujipendekeza kwa Rais. Tena ingekuwa ni vema jibu lile la Rais lingeambatana na barua ya onyo na kushushwa cheo kwa kosa la kutaka kumhadaa Mkuu wa Nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaazi likwelikwe
 
Brigedi Meja Jenerali Mbung'o anapaswa ajitafakari sana, maana yawezekana hata hakujua kama Chato tayari kuna jengo la Takukuru.
Na hii yawezekana ikawa pia sababu ya kudanganywa tena evaluation budget iliyo jenga jengo la Takukuru Chamwino.
 
Kama rais ni mwerevu sana na hataki watu wajipendekeze kwake na chattle, basi aruhusu tu bunge lijalo lijadili kuhusu uwanja wa ndege chattle tuone kama bunge liliidhinisha ujenzi wake au nani alishurutisha kiwanja kijengwe kule. Magu anajua kwamba demokrasia haitakuwa upande wake siku zote na ndio maana hakuruhusu mpinzani ndani ya ccm. Mbona hakuwaambia wana-ccm wasijipendekeze kwake katika kumsimamisha mgombea mmoja tu kutoka ccm?
 
Ila Rais asipokuwa careful ni kubandikwa na kubandikwa

Magufuli ashataka kukabidhi ambulance kwa wilaya ya sijui loliondo akashituka ghafla na kumtimua mkuu wa wilaya aliyetaka kuiiba.
 
Kama rais ni mwerevu sana na hataki watu wajipendekeze kwake na chattle, basi aruhusu tu bunge lijalo lijadili kuhusu uwanja wa ndege chattle tuone kama bunge liliidhinisha ujenzi wake au nani alishurutisha kiwanja kijengwe kule. Magu anajua kwamba demokrasia haitakuwa upande wake siku zote na ndio maana hakuruhusu mpinzani ndani ya ccm. Mbona hakuwaambia wana-ccm wasijipendekeze kwake katika kumsimamisha mgombea mmoja tu kutoka ccm?
Hilo la uwanja hata mimi nikiwa raisi lazima nijenge runway kijijini kwetu siwezi kutoka Dar na magari mpaka miles away wakati runway haicost hata bilioni kumi.

Bilioni moja kwa wengine ni hela ya mboga na wengine vijisenti, ebu tumheshimu Rais kwa hili
 
Back
Top Bottom