Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naibu akiwa mwana FAAnakwenda kuwa waziri wa habari, sanaa na michezo.
Nenda Ikulu kamuulize mwenyeweRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemteua Ndg. Humphrey Polepole kuwa Mbunge Katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Polepole ni Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM - NEC, itikadi na uenezi.
Nini kimelegwa hapa?View attachment 1637495
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
alipaswa amtoe kwenye hyo nafasi cku nyingi sana maana haiwezi ile nafasi anafaa tu awe mpinzani ili alete katiba mpya.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemteua Ndg. Humphrey Polepole kuwa Mbunge Katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Polepole ni Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM - NEC, itikadi na uenezi.
Nini kimelegwa hapa?View attachment 1637495
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Nitashangaa Magufuli psychology doesn’t work that way. Huyo ajajifunza bado kuwa mwehu kwa sababu ya kutetea CCM wala kumsifia Magufuli personally.Naibu akiwa mwana FA
Duh! Kwamba Polepole ana Nguvu kiasi hiki?Maandalilizi ya kubadili katiba ukomo wa urais
JikoniWataapishiwa pale pale gereji kwa mujibu wa Mbowe?
kwanin iwe unaibu na usiwe kamili.Hongeraa kwake....kiutani utani unaibu waziri mzee wa vieteeeee
Kila mtu sahv anaeongea kitu ambacho sio cha kukufurahisha ww ni chadema et ?Unafiki mkubwa mnao Vijana wa CHadema. Mna vipimo vyenu ambavyo havina Standard. Polepole Ni yule Yule. Shida haendani na CHadema. Haropoki na kupinga pinga kama zumbukuku, ndo mnaona hafai. Nyie walamba viatu vya Mbowe ambaye Ni MUNGU MTU kwenu hamjioni kama wanafiki. Hivi wewe ukitulia pale restroom ambako kila mtu anaenda. Akili yako ikiwa imetulia unaweza Sema JPM ana unafiki wowote. JPM Ni namba Original. Hana hunafiki na mnajua ndo mana kila siku ujinga mnaongea.
Navyofahamu nafasi ya uenezi taifa inakuwa wazi kwa misingi ya kazi ya idara ya uenezi ni ya kiutendaji pia ni kuwa msemaji wa chama. Na majukumu yake ni kazi ya muda wote. Yaani katibu wa NEC wa itikadi, siasa na uenezi anafanya kazi za kiutendaji muda wote.Sawa mkuu, lakini pia hii CCM ya Magufuli ilipitisha sheria mpya ya mtu mmoja kofia moja kwahiyo nafasi hiyo inakuwa wazi automatically
Inawezekana. Lakini Inawezekana pia ukomo usiondolewe. Watu wanasahau kuwa Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko Rais. Anaweza kung'atuka akabaki na uenyekiti. Akiwa Mwenyekiti anabaki na power base yake na Rais ( atakuwa wa CCM) atakuwa anaelekezwa tu. Baada ya miaka mitano, anafanya alivyofanya Putin, anauchukua tena urais wake.Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.