Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

Rais Magufuli ameyasema hayo wakati akifungua kiwanda cha bidhaa za ngozi Mkoani Kilimanjaro ambacho kimejengwa na PSSF.

Amesema kuwa mifuko hiyo ya hifadhi ya jamii iwekeze zaidi kwenye viwanda badala ya kujenga majengo. Akitoa ufafanuzi wa kauli yake, amesema unakuta jengo limejengwa kwa mabilioni halafu wapangaji wapo nusu ya jengo huo ni opotevu wa fedha.

Akaongeza kuwa ukijenga kiwanda unakuwa umetengeneza ajira, mfano kiwanda hicho cha ngozi kitaajiri watu 3000 ambao watakuwa waajiriwa wa kudumu achilia mbali wale wa kupeleka bidhaa kuuza nk.

Ametoa wito kwa mifuko ya jamii kujenga viwanda vingine.
PSSSF na NSSF wana pesa ya kufanya miradi, lakini pesa ya kumlipa mfanyakazi aliyetumikia Taifa na kchangia mifuko hiyo kwa miaka Mingi na badae kupoteza ajira na kuendelea kuteseka na familia yake, Hawana..!!
 
PSSSF na NSSF wana pesa ya kufanya miradi, lakini pesa ya kumlipa mfanyakazi aliyetumikia Taifa na kchangia mifuko hiyo kwa miaka Mingi na badae kupoteza ajira na kuendelea kuteseka na familia yake, Hawana..!!

Hovyo sana....
Post zako nyingi huwa unaandika pumba. Sijui kwann
 
Gharama za mkandarasi MT = 27 bil
Gharama za machines = 60 bil

Total. 87 bil

+ + +

Usafirishaji, ushuru wa forodha, trainings

Total 136 bil... Meaning around Tshs 50 bil zitatumika kwa shipping, customs taxes, trainings of personnel etc

PCCB cheki hiyo last 50 bil, nyingi sana sanaaaaaaa, something is clearly wrong here..!! That is too much money
Acha wivu wewe
 
Hayo ndio matumizi bora ya kimkakati.
Upumbavu mtupu! Mifuko ya jamii inatunza fedha za wafanyakazi ili wanufaike wakistaafu na si fedha za kujenga viwanda ambavyo vinaweza kufa na hivyo kuwakosesha wastaafu haki yao.

Mwambieni Magufuli atafute wawekezaji binafsi wajenge viwanda.
 
Jiwe 🐍🐍🐍🐍.

Tunataka pesa zetu.

Tumechoka
 
Watu wa Kaskazini hatudanganyiki safari hii hata azindue mabomba ya maziwa na asali, kwani tumeshaamua ni yeye2020
 
Duh, anazindua kiwanda ambacho hata hakijakamilika! Mitambo bado haijafungwa
 
Asitake kukwepa wajibu wake, yeye ndiye aliyeahidi kujenga viwanda siyo mifuko ya hifadhi ya jamii,asitafute ujiko kwa kutumia mgongo wa wengine.
 
Nyie chadema mkiambiwa ni maamuma mtakataa ?

Kwahiyo Unataka fedha ikae ikisubiria mtumishi astaafu?

Kwa haya mawazo ndio maana mnatandikwa virungu
Upumbavu mtupu! Mifuko ya jamii inatunza fedha za wafanyakazi ili wanufaike wakistaafu na si fedha za kujenga viwanda ambavyo vinaweza kufa na hivyo kuwakosesha wastaafu haki yao.

Mwambieni Magufuli atafute wawekezaji binafsi wajenge viwanda.
 
Back
Top Bottom