Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mungu ibariki Tanzania hadi mabeberu wakujue yakwamba upon Mungu usiyelala, na umpaye kila akuombaye. Amina.Rais John Magufuli akizindua mradi wa maji ulioko Kagongwa, Isaka Tabora
Ziba Nyuma, Kagongwa MbeleKwa hiyo yuko kagongwa
tunaelewa wachache hiiZiba Nyuma, Kagongwa Mbele
Ni Tabora Hiyo
Kahama mbele kagongwa nyuma[emoji16][emoji16][emoji16]Ziba Nyuma, Kagongwa Mbele
Ni Tabora Hiyo
AhaaZiba Nyuma, Kagongwa Mbele
Ni Tabora Hiyo
Ni kwa hisani ya watu wa wapi? Marekani, Canada, Japan, Uingereza, China, au!!Rais John Magufuli akizindua mradi wa maji ulioko Kagongwa, Isaka Tabora
Ziba Nyuma, Kagongwa Mbele
Ni Tabora Hiyo
atakua mchina !!Ni kwa hisani ya watu wa wapi? Marekani, Canada, Japan, Uingereza, China, au!!
Tushahama huko mkuu,hii ni kwa hisani ya kodi za wananchi wa Tanzania.Ni kwa hisani ya watu wa wapi? Marekani, Canada, Japan, Uingereza, China, au!!
DaaahhhKahama mbele kagongwa nyuma[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndiyo Ukweli Wenyewetunaelewa wachache hii
Tanzania Ni Kubwa Mpaka IborogileZiba nyuma, kagongwa mbele kahama nyuma...
Kote ulifika mkuu?
Mpaka IborogileAhaa