Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Kuna mama kavaa tisheti ya ccm ila picha ni ya JK na kanuna nadhani hata chai hajanywa
 
Ahsaante sana mkuu,

Lakini huko kwenye elimu unafikiri ni kweli kuna cha maendeleo kilichofanywa mpaka sasa au kwa vile sie tupo vijijini ndio maana hatuyaoni, maana tunashuhudia madudu hatujawahi ona (huku kwetu sijui kwenu)
 
tehetehe waziri muhusika yuko wapi?
nashangaa kila siku huyu jamaa anazindua na kutumbua tehetehet
Unge categories miradi anayotakiwa kuzindua rais,makamu rais,Waziri na viongozi wengine ili ijulikane mkuu.
 
CHADEMA roho zinawauma utadhani huo mradi hawatautumia, mijitu mingine hovyo kweli..

siku mkijenga makao makuu mapya ya chama ufipa, mnaweza kumwalika rais aje azindue....
 
Ahsaante sana mkuu,

Lakini huko kwenye elimu unafikiri ni kweli kuna cha maendeleo kilichofanywa mpaka sasa au kwa vile sie tupo vijijini ndio maana hatuyaoni, maana tunashuhudia madudu hatujawahi ona (huku kwetu sijui kwenu)
Inategemea mabadiliko katika elimu unayatazamaje. Kuna la miundo mbinu (km majengo), vifaa vya elimu, mitaala, walimu, utayari na uwezo wa wanafunzi nk. Kama ilivyo katika sekta ya huduma ya jamii (afya, maji, umeme) mahitaji ni mengi. Hilo la kutoa elimu bure, tukubali tusikubali limewapunguzia mzigo familia zenye uwezo mdogo kumudu gharama za kuelimisha watoto wao.
 
Kuna utofauti gani wa maendeleo ya watu na vitu?
Je Kuna maendeleo ya watu bila maendeleo ya vitu?
Hivi inawezekana nchi kuendelea bila ya umeme wa uhakika, miundombinu bora, bila viwanda?
Hata hicho kilimo kitapata vipi soko pasipo viwanda
 
Kamanda yaani kabisa na akili zako zote unamfananisha JK na JPM?!
Japokuwa JPM ana miaka takribani 3 tu madarakani ila hakika JK kaachwa mbaali mno!
Alichomzidi sanasana labda ni uhandsome tuu, ofkoz na lugha nzuri adhimu ya kiswahili!!.
teh teh teh teh.
Jamaa yuko mbali sana kwa JK.
Jk hayawahi sema aembewe,
Jk hajawahia mbiwa atubu.

Kizuri zaidi hata ambavyo amekuwa aki-tend kuvizindua, ni ama vilijengwa na Jk au ni mawazo za JK
 
Duh!! Sasa mkuu unahisi lakini bado unapinga wahusika wakuu(Serikali).

Nilidhani upo ndani kabisa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…