Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Waziri Kalemani yuko kwenye jukwaa anadanganya kwamba pesa zilizotolewa na Magufuli zote ni fedha za ndani. Uongo mkubwa.
Serikali imetoa 15% ya gharama. Zingine zote ni mkopo kutoka benki mbili za Japan, ndio maana ubalozi wa Japan upo jukwaani.
Serikali imetoa 15% ya gharama. Zingine zote ni mkopo kutoka benki mbili za Japan, ndio maana ubalozi wa Japan upo jukwaani.