Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Bado sijaridhika na sera zako za kuibadilisha Dar

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Bado sijaridhika na sera zako za kuibadilisha Dar

Ebu tupia picha moja ya tram inayopita njia ya vumbi kwanza?

Yaani unamsikiliza Lissu kabisaa? Uwezi kujenga city tram bila ya barabara if anything it is even costlier maana ukishajenga hiyo barabara there is the addition cost inabidi ujenge na njia ya tram katikati, halafu uweke umeme njiani na uzinunue hizo trams zenyewe.

Sasa kama hela ya barabara kuipata tu shida hiyo nyongeza sijui unaitoa wapi?

Tundu Lissu ni mtu anaejiongelea tu.
 


Nianze moja kwa moja na mada yangu,

Kwa mara yangu ya kwanza napenda kumshukuru Mh Tundu Antipati Lissu kwa mawazo mazuri aliyo yatoa jana katika ziara yake ya kutembelea mitaa ya kariakoo kuhusu mobility kwenye jiji letu la Dar.

Nikilinganisha mawazo haya na hotuba ya Rais Magufuli leo kwenye uwanja wa Mkapa, nasikitika kusema, hapa nadhani Rais wetu hajajua nini maana ya mobility katika jiji kubwa na lenye watu wengi kama la Dar es salaam. Rais Magufuli bado una fikra za kudhani kuwa mabasi ya mwendo kasi ndiyo ufunguo wa kutatua tatizo la usafiri wa watu jijini.

Kwa hotuba yako hiyo naona kweli bado hujajua tatizo linalo ikabili jiji letu. Na nathubutu kusema tena kuwa Rais Magufuli hujui nini maana ya mobility katika jiji kubwa kama la Dar. Rais Magufuli nafikiri huoni kitu kingine zaidi ya barabara, Flyovers, madaraja na majengo. Nafikiri unapenda sana kusikia harufu ya maconcret na betumen.

Katika hotuba yako ya leo nimesikitika kutosikia exactly concept yako ya kuondoa tatizo linalo wakabili vijana wengi jijini la ajira. Kwenye mawazo yako ya ku-create ajira kwa vijana naona umemung'unya tu maneno.

Rais Magufuli chukua mawazo ya wenzako. Wewe huwezi kuwa Mungu wa kujua kila kitu. Hata Mungu aliwaumba malaika kabla ya kumwuumba binadam, kwani alijua kuwa malaika watamsaidia katika kummpa ushauri wa kutatua matatizo yanayo wakabili binadam duniani.

Mtu akizungumzia uzalishaji wa ajira hamaanishi makandarasi na maengineer wakutengeneza mabarabara, madaraja, ma-flyover na majengo pia melanika na madereva wa kutengeneza na kuyaendesha mabasi ya mwendobkasi tu, bali anamaanisha uzalishaji wa ajira zenye skils na creativity. Katika hili naona katika sera zako na CCM yako bado mko mbali sana.

Rais Magufuli naomba nikuulize swali, hivi lile swala la Commuter trains limeishia wapi? Na lile la bonde la Msimbazi je? Mbona sikusikia ukiyazungumzia tena?

Rais Magufuli nakuomba tafadhali sana kupiga akili ya kufikiria na kutekeleza miradi ya kimkakati ambayo kweli italeta ajira za kudumu na maarifa ya kuliendeleza jiji letu na taifa letu kwa ujumla.

Ili kudumisha miundo mbinu ya uhakika ya jiji la Dar es salaam sambamba na mabarabara na Flyovers uliyokusudia kuyajenga na kuyasambaza jijini Dar es salaam, achana na fikra zako za kueneza mabasi ya mwendo kasi kwenye routes ulizo zitaja kama:
Route ya Kariako mpaka Mbagara Kuu kwenye awamu ya pili na nyinginezo ulizokusudia kwenye awamu za tatu, nne, tano na sita badala yake nikuombe kuweka trams kama Lissu alivyo sema au kupendekeza kwenye hiyo clip yake.

Mabasi ya mwendo kasi yanatakiwa yawe kiunganishi cha vitongoji vya mbali na mji kama Goba na mwenge au kawe au maeneo yasiyo kuwa na Trams.

Maeneo kama Mkuranga, Bagamoyo, Kibaha, Kisarawe na kadhalika mpaka Mainstation Commuter trains zilitakiwa ku-operate. Usafiri wa aina hii unaleta teknolojia mpya na kuzalisha ajira nyingi. Sambamba na hayo upeo wa maarifa unapanuka na hivyo kupunguza idadi ya vijana wasio weza kujiamini na kuwaza vizuri.

Zaidi ya hayo Rais Magufuli kama bonde la Msimbazi nalo utalifanyia kazi ili liwe kivutio cha utalii, kama Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliyepita, RC Makonda, alivyo tuhabarisha, ingekuwa safi sana.

Na kama hospitali zetu za Dar es salaam Mwananyamala, Muhimbili, Magomeni, Mnazimmoja na Amana ukaziunganisha kwa sky trains ku cross bonde la msimbazi, duh!Yaani hapo ungekuwa umemaliza kila kitu.

Kingine ambacho ni cha umuhimu sana jijini Dar es salaam na pia fursa kubwa ya kutengeneza ajira ni sewage systems na Sewage Water Purifying Plants na pavements. Haya mambo ya kujenga mitaro ambayo iko wazi kandokando ya barabara za mijini au kwenye makazi ya watu ni upuuzi wa hali ya juu.

0Mifereji ya maji taka mijini mara nyingi hupitishwa chini ya ardhi na serikali inatakiwa kuwa na kampuni ya uendeshaji wa mradi huu ambao unatoa ajira za kudumu kwa vijana.

Bila kukusanya wanadiaspora na wenyeji wenye utaalam wa kutengenza SGR ili tupige SGR yetu tukianzia Dar mpaka Bagamoyo na tukifanikisha tupige High speet train yetu wenyeww kutoka Dar kwenda Mtwara na kadhalika.

Vijana wa leo wanataka pia free access ya internet. Sambaza WiFi Technology nchi nzima na hasa mashuleni. Samabaza Laptop au Tabletts za kusomea kwenye shule zote ili wanafunzi wapanue maarifa na kugundua talents zao na ahidi kutoa chakula shuleni bure. Mwanafunzi ataelewa nini wakati ana njaa?

Wewe hujasikia train za Mwakyembe, hizo zina represent nini ??? Amekuwa hiyo wizara for 20 yrs anajua plan zilivyo na sio zote zitatekelezwa ktk kipindi chake. Kilichofanyika so far ni kikubwa na ameongezea some more flyover to come na hizo bus lanes au hizo za mwendokasi
 
MAGUFULI anasema by 2030 wakazi wa DSM watakuwa 10 million, anafanya jitihada gani kuboresha maisha ya watu huko vijijini ili kuipunguzia msongamano wa watu Dsm?
Kwanini London in a population kubwa kuliko kwingine ?? Kwa hiyo waingereza hawafanyi juhudi zozote za kupata ufumbuzi wa tatizo hili ??

"The current metro area population of London in 2020 is 9,304,000, a 1.38% increase from 2019. The metro area population of London in 2019 was 9,177,000, a 1.45% increase from 2018. The metro area population of London in 2018 was 9,046,000, a 1.46% increase from 2017."
Je uwezo wa umeme na transport network kwenye sehemu zingine hazita sababisha watu kukata au kuishi mikoa mingine ??
He kuhamia Dodoma haitakuwa sehemu ya utatuzi wa watu kuja Dar ??
 
CCM bana toka 2000 wanaimba tu kurekebisha mto msimbazi na adha za mafuriko [emoji23][emoji23][emoji23].

Pesa za kujenga daraja la salenda bora wangerekebisha jangwani pale

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Hata hiyo miaka 5 atashangaa itakatika akiwa hajui nini kimekula pesa, tatizo lake anakwepa utaalamu na oditing za ukweli kwenye ukaguzi maalumu yeye analeta mashabiki wake wanaomshangilia bila kutumia taaluma hata hizo kampeni anazofanya ni mfano tosha jinsi anavyopigwa, chaguzi za marudio zilikuwa vioja na leo analetewa mtu wa CUF anaambiwa ni CDM nayeye anashabikia tu na watu wanajua alikuwa CUF.
 
Kwanza swala la miundo mbinu weka pemben kwa sababu mliisema vibaya sana, sasa tuwaone mnaruka kwenye fly over zile ndo siasa zitakapoanza kua vita, nyie subirieni kazi na bata miundo mbinu tuachie sisi tunayoitaka

2) Swala la ajira tumeshachoka kuskia izi ngonjera sasa! ajra sku zote ni minimum na sio watu wote watafanikiwa kupata ajira maishan, tuko wengi sana hii duni, takriban 8B people dunia nzima! where are you going to get jobs for 8B people? ifike sehem muache cheap talks, we have heard enough
Sasa kama suala la ajira mumesikia vyakutosha hawa wasio na ajira mnataka waishi vipi? Ajira sio lazma serikali sector binafsi weken mazingira mazuri, toeni mikopo sio mnaongea upumbavu kwakua nyie mumeshaajiriwa
 
Sasa kama suala la ajira mumesikia vyakutosha hawa wasio na ajira mnataka waishi vipi? Ajira sio lazma serikali sector binafsi weken mazingira mazuri, toeni mikopo sio mnaongea upumbavu kwakua nyie mumeshaajiriwa

capitalisma haipo ivo dogo, kila mtu akiwa na ajira basi ndo mwisho wa kuwepo kiumbe kinaitwa binadam! lazima kue na balance, hata uende nchi gan lazima kue na setback ya ajira, na sio kwamba wameshindwa ama wanaweza kulitatua bur ndo capitalism ivo, haitakaa itokee sehem yoyote duniani watu waajiriwe wote lazima kue na matabaka ili maisha yasogee,
 


Nianze moja kwa moja na mada yangu,

Kwa mara yangu ya kwanza napenda kumshukuru Mh Tundu Antipati Lissu kwa mawazo mazuri aliyo yatoa jana katika ziara yake ya kutembelea mitaa ya kariakoo kuhusu mobility kwenye jiji letu la Dar.

Nikilinganisha mawazo haya na hotuba ya Rais Magufuli leo kwenye uwanja wa Mkapa, nasikitika kusema, hapa nadhani Rais wetu hajajua nini maana ya mobility katika jiji kubwa na lenye watu wengi kama la Dar es salaam. Rais Magufuli bado una fikra za kudhani kuwa mabasi ya mwendo kasi ndiyo ufunguo wa kutatua tatizo la usafiri wa watu jijini.

Kwa hotuba yako hiyo naona kweli bado hujajua tatizo linalo ikabili jiji letu. Na nathubutu kusema tena kuwa Rais Magufuli hujui nini maana ya mobility katika jiji kubwa kama la Dar. Rais Magufuli nafikiri huoni kitu kingine zaidi ya barabara, Flyovers, madaraja na majengo. Nafikiri unapenda sana kusikia harufu ya maconcret na betumen.

Katika hotuba yako ya leo nimesikitika kutosikia exactly concept yako ya kuondoa tatizo linalo wakabili vijana wengi jijini la ajira. Kwenye mawazo yako ya ku-create ajira kwa vijana naona umemung'unya tu maneno.

Rais Magufuli chukua mawazo ya wenzako. Wewe huwezi kuwa Mungu wa kujua kila kitu. Hata Mungu aliwaumba malaika kabla ya kumwuumba binadam, kwani alijua kuwa malaika watamsaidia katika kummpa ushauri wa kutatua matatizo yanayo wakabili binadam duniani.

Mtu akizungumzia uzalishaji wa ajira hamaanishi makandarasi na maengineer wakutengeneza mabarabara, madaraja, ma-flyover na majengo pia melanika na madereva wa kutengeneza na kuyaendesha mabasi ya mwendobkasi tu, bali anamaanisha uzalishaji wa ajira zenye skils na creativity. Katika hili naona katika sera zako na CCM yako bado mko mbali sana.

Rais Magufuli naomba nikuulize swali, hivi lile swala la Commuter trains limeishia wapi? Na lile la bonde la Msimbazi je? Mbona sikusikia ukiyazungumzia tena?

Rais Magufuli nakuomba tafadhali sana kupiga akili ya kufikiria na kutekeleza miradi ya kimkakati ambayo kweli italeta ajira za kudumu na maarifa ya kuliendeleza jiji letu na taifa letu kwa ujumla.

Ili kudumisha miundo mbinu ya uhakika ya jiji la Dar es salaam sambamba na mabarabara na Flyovers uliyokusudia kuyajenga na kuyasambaza jijini Dar es salaam, achana na fikra zako za kueneza mabasi ya mwendo kasi kwenye routes ulizo zitaja kama:
Route ya Kariako mpaka Mbagara Kuu kwenye awamu ya pili na nyinginezo ulizokusudia kwenye awamu za tatu, nne, tano na sita badala yake nikuombe kuweka trams kama Lissu alivyo sema au kupendekeza kwenye hiyo clip yake.

Mabasi ya mwendo kasi yanatakiwa yawe kiunganishi cha vitongoji vya mbali na mji kama Goba na mwenge au kawe au maeneo yasiyo kuwa na Trams.

Maeneo kama Mkuranga, Bagamoyo, Kibaha, Kisarawe na kadhalika mpaka Mainstation Commuter trains zilitakiwa ku-operate. Usafiri wa aina hii unaleta teknolojia mpya na kuzalisha ajira nyingi. Sambamba na hayo upeo wa maarifa unapanuka na hivyo kupunguza idadi ya vijana wasio weza kujiamini na kuwaza vizuri.

Zaidi ya hayo Rais Magufuli kama bonde la Msimbazi nalo utalifanyia kazi ili liwe kivutio cha utalii, kama Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliyepita, RC Makonda, alivyo tuhabarisha, ingekuwa safi sana.

Na kama hospitali zetu za Dar es salaam Mwananyamala, Muhimbili, Magomeni, Mnazimmoja na Amana ukaziunganisha kwa sky trains ku cross bonde la msimbazi, duh!Yaani hapo ungekuwa umemaliza kila kitu.

Kingine ambacho ni cha umuhimu sana jijini Dar es salaam na pia fursa kubwa ya kutengeneza ajira ni sewage systems na Sewage Water Purifying Plants na pavements. Haya mambo ya kujenga mitaro ambayo iko wazi kandokando ya barabara za mijini au kwenye makazi ya watu ni upuuzi wa hali ya juu.

0Mifereji ya maji taka mijini mara nyingi hupitishwa chini ya ardhi na serikali inatakiwa kuwa na kampuni ya uendeshaji wa mradi huu ambao unatoa ajira za kudumu kwa vijana.

Bila kukusanya wanadiaspora na wenyeji wenye utaalam wa kutengenza SGR ili tupige SGR yetu tukianzia Dar mpaka Bagamoyo na tukifanikisha tupige High speet train yetu wenyeww kutoka Dar kwenda Mtwara na kadhalika.

Vijana wa leo wanataka pia free access ya internet. Sambaza WiFi Technology nchi nzima na hasa mashuleni. Samabaza Laptop au Tabletts za kusomea kwenye shule zote ili wanafunzi wapanue maarifa na kugundua talents zao na ahidi kutoa chakula shuleni bure. Mwanafunzi ataelewa nini wakati ana njaa?

Hilo la Dar alichomekea tu, ni huyu aliyenunua kivuko mtumba cha Dar Bagamoyo kilichochukua siku mzima kusafiri toka Dar kwenda Bagamoyo.
 


Nianze moja kwa moja na mada yangu,

Kwa mara yangu ya kwanza napenda kumshukuru Mh Tundu Antipati Lissu kwa mawazo mazuri aliyo yatoa jana katika ziara yake ya kutembelea mitaa ya kariakoo kuhusu mobility kwenye jiji letu la Dar.

Nikilinganisha mawazo haya na hotuba ya Rais Magufuli leo kwenye uwanja wa Mkapa, nasikitika kusema, hapa nadhani Rais wetu hajajua nini maana ya mobility katika jiji kubwa na lenye watu wengi kama la Dar es salaam. Rais Magufuli bado una fikra za kudhani kuwa mabasi ya mwendo kasi ndiyo ufunguo wa kutatua tatizo la usafiri wa watu jijini.

Kwa hotuba yako hiyo naona kweli bado hujajua tatizo linalo ikabili jiji letu. Na nathubutu kusema tena kuwa Rais Magufuli hujui nini maana ya mobility katika jiji kubwa kama la Dar. Rais Magufuli nafikiri huoni kitu kingine zaidi ya barabara, Flyovers, madaraja na majengo. Nafikiri unapenda sana kusikia harufu ya maconcret na betumen.

Katika hotuba yako ya leo nimesikitika kutosikia exactly concept yako ya kuondoa tatizo linalo wakabili vijana wengi jijini la ajira. Kwenye mawazo yako ya ku-create ajira kwa vijana naona umemung'unya tu maneno.

Rais Magufuli chukua mawazo ya wenzako. Wewe huwezi kuwa Mungu wa kujua kila kitu. Hata Mungu aliwaumba malaika kabla ya kumwuumba binadam, kwani alijua kuwa malaika watamsaidia katika kummpa ushauri wa kutatua matatizo yanayo wakabili binadam duniani.

Mtu akizungumzia uzalishaji wa ajira hamaanishi makandarasi na maengineer wakutengeneza mabarabara, madaraja, ma-flyover na majengo pia melanika na madereva wa kutengeneza na kuyaendesha mabasi ya mwendobkasi tu, bali anamaanisha uzalishaji wa ajira zenye skils na creativity. Katika hili naona katika sera zako na CCM yako bado mko mbali sana.

Rais Magufuli naomba nikuulize swali, hivi lile swala la Commuter trains limeishia wapi? Na lile la bonde la Msimbazi je? Mbona sikusikia ukiyazungumzia tena?

Rais Magufuli nakuomba tafadhali sana kupiga akili ya kufikiria na kutekeleza miradi ya kimkakati ambayo kweli italeta ajira za kudumu na maarifa ya kuliendeleza jiji letu na taifa letu kwa ujumla.

Ili kudumisha miundo mbinu ya uhakika ya jiji la Dar es salaam sambamba na mabarabara na Flyovers uliyokusudia kuyajenga na kuyasambaza jijini Dar es salaam, achana na fikra zako za kueneza mabasi ya mwendo kasi kwenye routes ulizo zitaja kama:
Route ya Kariako mpaka Mbagara Kuu kwenye awamu ya pili na nyinginezo ulizokusudia kwenye awamu za tatu, nne, tano na sita badala yake nikuombe kuweka trams kama Lissu alivyo sema au kupendekeza kwenye hiyo clip yake.

Mabasi ya mwendo kasi yanatakiwa yawe kiunganishi cha vitongoji vya mbali na mji kama Goba na mwenge au kawe au maeneo yasiyo kuwa na Trams.

Maeneo kama Mkuranga, Bagamoyo, Kibaha, Kisarawe na kadhalika mpaka Mainstation Commuter trains zilitakiwa ku-operate. Usafiri wa aina hii unaleta teknolojia mpya na kuzalisha ajira nyingi. Sambamba na hayo upeo wa maarifa unapanuka na hivyo kupunguza idadi ya vijana wasio weza kujiamini na kuwaza vizuri.

Zaidi ya hayo Rais Magufuli kama bonde la Msimbazi nalo utalifanyia kazi ili liwe kivutio cha utalii, kama Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliyepita, RC Makonda, alivyo tuhabarisha, ingekuwa safi sana.

Na kama hospitali zetu za Dar es salaam Mwananyamala, Muhimbili, Magomeni, Mnazimmoja na Amana ukaziunganisha kwa sky trains ku cross bonde la msimbazi, duh!Yaani hapo ungekuwa umemaliza kila kitu.

Kingine ambacho ni cha umuhimu sana jijini Dar es salaam na pia fursa kubwa ya kutengeneza ajira ni sewage systems na Sewage Water Purifying Plants na pavements. Haya mambo ya kujenga mitaro ambayo iko wazi kandokando ya barabara za mijini au kwenye makazi ya watu ni upuuzi wa hali ya juu.

0Mifereji ya maji taka mijini mara nyingi hupitishwa chini ya ardhi na serikali inatakiwa kuwa na kampuni ya uendeshaji wa mradi huu ambao unatoa ajira za kudumu kwa vijana.

Bila kukusanya wanadiaspora na wenyeji wenye utaalam wa kutengenza SGR ili tupige SGR yetu tukianzia Dar mpaka Bagamoyo na tukifanikisha tupige High speet train yetu wenyeww kutoka Dar kwenda Mtwara na kadhalika.

Vijana wa leo wanataka pia free access ya internet. Sambaza WiFi Technology nchi nzima na hasa mashuleni. Samabaza Laptop au Tabletts za kusomea kwenye shule zote ili wanafunzi wapanue maarifa na kugundua talents zao na ahidi kutoa chakula shuleni bure. Mwanafunzi ataelewa nini wakati ana njaa?

Hakuna mabadiriko ya maana ya jiji la Dar es Salaam yatakayoletwa na Ccm! Nasema tena Hakuna!!!

Dar yote ni squatters ( mji uliopangwa hovyo ) watu wamejenga vibaya na mji ni mchafu kupindukia. Yote haya sababu ni Ccm! Creativity ndogo tu ya kupanga mji na kuujenga vizuri wakazi wake wakae vizuri wameshindwa, kazi ya kujenga tu vizuri maeneo mazuri yenye hadhi ya wafanyabiashara wadogo kwenye maeneo ya vituo vya mabasi wameshindwa sasa huo muujiza wa kubadiri Dar es Salaam unatoka wapi??
 
Yaani unaongea Mambo ambayo mwenzio yupo so out of touch nayo, kwa uwezo wake sidhani Kama atakuelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa mkuu. Lakini kujaribu si haba. Pengine anaweza pitia humu na kugundua asiyonyajua.
 
Mkuu kongole kwa hoja za msingi.
Kuna siku miaka ya mwisho ya tisini nikimkuta msaidizi wa kazi za nyumbani akimpa mtoto wa miezi 8 mahindi makavu yaliyokaangwa.
Ndicho nikionacho hapa kwako mkuu.
Duuh! Safi sana. Coment yako imenikuna sana. Asante na mungu akubariki.
 
'nafikiri huoni kitu kingine zaidi ya barabara, Flyovers, madaraja na majengo.'

Huko ndiko kwny michongo ya pesa mzee baba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Asante kwa ufafanuzi. Nilikuwa sijalijua hilo! Kumbe!
 
MAGUFULI anasema by 2030 wakazi wa DSM watakuwa 10 million, anafanya jitihada gani kuboresha maisha ya watu huko vijijini ili kuipunguzia msongamano wa watu Dsm?
Ndiyo hapo sasa! Anajenga hospitali, barabara na shule ili wawe na afya nzuri, wawe na akili bora ya kuondoka vijini na kuja Dar.
 
Hapa ndio naona umuhimu wa taifa kuongozwa na mtu mwenye hekima na maarifa, alie tayari kujifunza kwa wengine, sio mtu anaesema mkiniletea wapinzani siwapi maendeleo, hivi kweli kwa mwenye akili timamu unaweza vipi kumpigia kura mtu wa aina hii?!

Hebu tusikubali kudanganywa watanzania, nawapa pole na wale wagombea ubunge wa CCM wanaojidai watashinda kwa mgongo wa mgombea wao wa urais, kwa hizo pumba anazoongea kila wakati wajiandae kuachia majimbo.
Mbona mifano ipo mingi? Angalia Majimbo ya Kawe na Ubungo. Halim Mdee na mbunge wa Ubungo wamefanya nini kwenye majinbo yao? Bado hujaelewa tu kwa nini? Unatala nikufafanulie ndiyo uelewe?
 
Yaani hicho ndicho kitu pekee kilicho attract your attention kwenye mada hii?
NEC ikiwafuta kwenye kugombea kwa sababu ya ujazaji form was hovyo mnalalamika
Lakini ukweli hamjui kusoma na kuandika
Mm Mtu akikosea kuandika huwa siendelei kusoma
Afadhali ikiwa typing error
 
NEC ikiwafuta kwenye kugombea kwa sababu ya ujazaji form was hovyo mnalalamika
Lakini ukweli hamjui kusoma na kuandika
Mm Mtu akikosea kuandika huwa siendelei kusoma
Afadhali ikiwa typing error
Wewe ni nani kwanza na unajua nini katika ulimwengu huu. You are nothing na hujui kitu chochote katika dunia hii. Sasa kama wewe usipo soma mada yangu unafikiri mimi nitapungikiwa na nini? Kama kula nakula vizuri na naishi vizuri uzunguni.

Wewe kwanza pamoja na kujua kwako kusoma na kuandika kama unavyojiona mbona bado una ishi uswahilini na kutoa harufu mbaya ya kwapani? Na utaendelea kuishi kwenye nchi ya wanuka jasho tu kama wewe mpaka mauti yata kukuta. Wewe ni Falah sana!

Huko kujua kusoma na kuandika kwako kumesaidia nini kwenye kuondoa matatizo ambayo mji wako unakabiliana nayo kama haya ya mafuriko?

Hujui kujua kusoma na kuandika kwako unakufanya ule vitu ambavyo vina bacteria wa kutoka kwenye vinyesi vyako na vya watu wengine? Unajua kwa nini? Kwa sababu huna uelewa mpana wa maarifa. Ungekuwa na uwezo huo usingetoa argument ya elimu yako ya kingumbaru nama hii.

Dar es salaam ya leo kwa mafuriko haya yaliyotokea ukinunua kitu chochote kile cha kula kama; mchicha, samaki wa kukaanga, maandazi, chapati na kadhalika ujue unakula pia Colli bacteria kibao. Unajua kwanini? Kwa sababu mafuriko yaliyo tokea yanasababisha vyoo vya maeneo yote ya mafuruko kufumuka na vinyesi vya kutoka vyooni vina sambaa kila sehemu na kusababisha hawa bacteria kuwa kila sehemu mpaka kwenye miguu yako na mikono ya wauza hivyo vyakula. Matokeo yake mnaugua maradhi ambayo mngeweza kuyaepuka.

Je wewe unayejua kusoma na kuandika umesaidia kuzia hayo yasitokee? Na kama umeshindwa kufanya hivyo, itakuwaje unamzarau mwenzako anaye jua hata definition ya "Binomial coefficient"?

Mwenzako anayejua definition ya hii "Binomial coefficient", hata kama hawezi soma na kuandika anaweza akapiga mahesbu ya kudetermine ujazo wa maji kulingana na mvua iliyonyesha kwenye vituo vyao vya kupima hali ya hewa. Wewe unaye jua kusoma na kuandika unaweza ukaifanya kazi hiyo? Nafikri huwezi na hujui hiyo definition ina maana gani kwako.

Sasa niambie nani yuko bora kuliko mwingine. Ni wewe unayejua kusoma na kuandika na ukaweza jaza form za uchaguzi vizuri, lakini huna maarifa ya kujiprotect na jujiokoa mwenyewe kutoka kwenye majanga ya mazingira au yule anayejua kupiga mahesabu ya kujua wapi janga litatokea na la magnitude gani?

Sikiliza mkuu usijione kwa vile wewe unajua kusoma na kuandika ukadhani kuwa umesha maliza kila kitu, si kweli na wala usijidanganye hivyo, hicho ndicho kitu pekee ambacho wewe umejaliwa nacho, lakini kuna mambo mengi sana ambayo kwako ni kizungumkuti. Acha dharau za kijinga hizo.

Kwanza kama hujui, psychologically, mtu anaye ananza na dharau kama zako za kusema ooh "Mm Mtu akikosea kuandika huwa siendelei kusoma", wataalam wa psychoproblems wanasema mtu wa namna hii ana hitlafu fulani katika maisha yake. Ni mtu ambaye yuko abnormal. Ni mtu ambaye katika jamii hafai hata kuwa mwanachama. Ni mtu hatari na asiye kuwa na uwezo mkubwa wa ku reason. Ni mtu mwenye element fulani zu kuwa "Autist". Ni mtu mfu. Ni mzigo kwa jamii.

Mtu aliyekamilika ni yule ambaye anakuwa inquisitive kutaka kujua nini anamaanisha na kwa sababu gani? Mtu mwenye capacity kubwa ya ku analyse habari mawazo na kadhalika.

Kwa mtazamo wangu, nimejifunza kitu komoja kwa watanzania wa leo .
Kila kitu kwao ni siasa na itikadi.
 
Back
Top Bottom