Wewe ni nani kwanza na unajua nini katika ulimwengu huu. You are nothing na hujui kitu chochote katika dunia hii. Sasa kama wewe usipo soma mada yangu unafikiri mimi nitapungikiwa na nini? Kama kula nakula vizuri na naishi vizuri uzunguni.
Wewe kwanza pamoja na kujua kwako kusoma na kuandika kama unavyojiona mbona bado una ishi uswahilini na kutoa harufu mbaya ya kwapani? Na utaendelea kuishi kwenye nchi ya wanuka jasho tu kama wewe mpaka mauti yata kukuta. Wewe ni Falah sana!
Huko kujua kusoma na kuandika kwako kumesaidia nini kwenye kuondoa matatizo ambayo mji wako unakabiliana nayo kama haya ya mafuriko?
Hujui kujua kusoma na kuandika kwako unakufanya ule vitu ambavyo vina bacteria wa kutoka kwenye vinyesi vyako na vya watu wengine? Unajua kwa nini? Kwa sababu huna uelewa mpana wa maarifa. Ungekuwa na uwezo huo usingetoa argument ya elimu yako ya kingumbaru nama hii.
Dar es salaam ya leo kwa mafuriko haya yaliyotokea ukinunua kitu chochote kile cha kula kama; mchicha, samaki wa kukaanga, maandazi, chapati na kadhalika ujue unakula pia Colli bacteria kibao. Unajua kwanini? Kwa sababu mafuriko yaliyo tokea yanasababisha vyoo vya maeneo yote ya mafuruko kufumuka na vinyesi vya kutoka vyooni vina sambaa kila sehemu na kusababisha hawa bacteria kuwa kila sehemu mpaka kwenye miguu yako na mikono ya wauza hivyo vyakula. Matokeo yake mnaugua maradhi ambayo mngeweza kuyaepuka.
Je wewe unayejua kusoma na kuandika umesaidia kuzia hayo yasitokee? Na kama umeshindwa kufanya hivyo, itakuwaje unamzarau mwenzako anaye jua hata definition ya "Binomial coefficient"?
Mwenzako anayejua definition ya hii "Binomial coefficient", hata kama hawezi soma na kuandika anaweza akapiga mahesbu ya kudetermine ujazo wa maji kulingana na mvua iliyonyesha kwenye vituo vyao vya kupima hali ya hewa. Wewe unaye jua kusoma na kuandika unaweza ukaifanya kazi hiyo? Nafikri huwezi na hujui hiyo definition ina maana gani kwako.
Sasa niambie nani yuko bora kuliko mwingine. Ni wewe unayejua kusoma na kuandika na ukaweza jaza form za uchaguzi vizuri, lakini huna maarifa ya kujiprotect na jujiokoa mwenyewe kutoka kwenye majanga ya mazingira au yule anayejua kupiga mahesabu ya kujua wapi janga litatokea na la magnitude gani?
Sikiliza mkuu usijione kwa vile wewe unajua kusoma na kuandika ukadhani kuwa umesha maliza kila kitu, si kweli na wala usijidanganye hivyo, hicho ndicho kitu pekee ambacho wewe umejaliwa nacho, lakini kuna mambo mengi sana ambayo kwako ni kizungumkuti. Acha dharau za kijinga hizo.
Kwanza kama hujui, psychologically, mtu anaye ananza na dharau kama zako za kusema ooh "Mm Mtu akikosea kuandika huwa siendelei kusoma", wataalam wa psychoproblems wanasema mtu wa namna hii ana hitlafu fulani katika maisha yake. Ni mtu ambaye yuko abnormal. Ni mtu ambaye katika jamii hafai hata kuwa mwanachama. Ni mtu hatari na asiye kuwa na uwezo mkubwa wa ku resorn. Ni mtu mwenye element fulani zu kuwa "Autist". Ni mtu mfu. Ni mzigo kwa jamii.
Mtu aliyekamilika ni yule ambaye anakuwa inquisitive kutaka kujua nini anamaanisha na kwa sababu gani? Mtu mwenye capacity kubwa ya ku analyse habari mawazo na kadhalika.
Kwa mtazamo wangu, nimejifunza kitu komoja kwa watanzania wa leo .
Kila kitu kwao ni siasa na itikadi.