Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Mkopo wa nini wakati tuna mahela mengi ?Mkuu huo ni mkopo, mikopo hata nchi tajiri kama Marekani zinachukua mikopo, zina deni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo wa nini wakati tuna mahela mengi ?Mkuu huo ni mkopo, mikopo hata nchi tajiri kama Marekani zinachukua mikopo, zina deni.
Nini chanzo cha mzozo wa huu mkopo?Rais Magufuli akiwa katika hafla ya kuwaapisha mawaziri na mabalozi Ikulu leo, amesema kwamba kuna mambo mengi yamezungumzwa na tuyapuuzie. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia alikuja hapa, mwaka jana, kwahiyo wanatoa pesa wakijua sisi Tanzania tuna misimamo gani na tunafanya nini, hao wengine ni wapiga kelele tu, wala msiwajibu kwasababu watu wa namna hiyo hawaishi duniani.
Awali wiki iliyopita, zilikuja taarifa kwamba Benki ya Dunia WB imesema inafikiria uwezekano wa kuikopesha Serikali ya Tanzania mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 sawa na Trilioni 1.152 za Kitanzania kwa ajili ya kuboresha sekta ya Elimu, mkopo uliokuwa umesimamishwa na benki hiyo kutokana na Rais Magufuli kutangaza kuzuia wanafunzi wanaopata mimba wakiwa shuleni kutoendelea na masomo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, benki ya Dunia imedai kuwa ilipokea barua kutoka wanaharakati kutoka nchini Tanzania ambao walieleza kuwa, Benki ya Dunia kuendelea kutoa mkopo huo ni kuendelea kuwabagua wanafunzi kwa kigezo cha waliojifungua, wenye ujauzito na wasio Wajawazito.
Hivyo walitaka benki hiyo kusitisha mkopo huo tangu mwaka 2018, mpaka serikali itakapobadili sera yake ya kumzuia mwanafunzi aliyepata mimba kuendelea na masomo.
Pia soma > Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia
Mkopo haujawahi kuwa msaada!
Unakopeshwa tu kama una uwezo wa kulipa Mkopo pamoja na riba!
NANI AMEKUAMBIA QAMWNUNUA NDEGE CASH? WAMEKOPA KULE WAKA LIPA HUKO CASH. THAT MEANS DENI JUU YA DENI. NA MANDEGE YENYEWE NI KAMA PICHA HAYAINGIZI ANY INCOME AMA KWELI SIFA ZINAUA..lakini kununua ndege cash halafu kwenda kukopa kwa ajili ya elimu siyo busara hata kidogo.
Anaenda kukopa kwa mabeberu?! Teh..Wafundishe mkuu! Hawajui mkopo na msaada!
Mkopo haujawahi kuwa Msaada!
Kumbuka pia huwezi kupata mkopo kama huwa uwezo wa kurudisha mkopo na riba!
Sawa tuKukopa kukopa mpaka mtatuweka dhamana watanzania siku sifa ya kukopesheka itakapo isha."
Masharti yake kama ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.Kukopa kukopa mpaka mtatuweka dhamana watanzania siku sifa ya kukopesheka itakapo isha."
Nimemsema wapi tenaUngeanza wewe kumpuuza,tuanzie hapo.
Kama tangu juzi unamsema huko sio kumpuuza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio hoja. Bravado.Kuwaamini wanasiasa lzm uwe umelewa.Ndege tunanunua cash elimu tunataka mkopo si tuuze dimulaina moja tu
Serikali ina-exist kwa hisani ya wananchi na wala wananchi hawa-exist kwa hisani ya serikali.Ni kweli wapiga kelele wapuuzwe tu hakuna namna, wewe unapiga kelele na bado serikali hiyo hiyo inakuhudumia,unaishi kwa amani pamoja na njaa yako na shida zako lakini bado tu unapiga kelele,usaidiweje sasa?
nitarudi baadae
Serikali ina-exist kwa hisani ya wananchi na wala wananchi hawa-exist kwa hisani ya serikali.
Ukilielewa hilo ndio utakuwa walau na akili kidogo.
Rais Magufuli akiwa katika hafla ya kuwaapisha mawaziri na mabalozi Ikulu leo, amesema kwamba kuna mambo mengi yamezungumzwa na tuyapuuzie. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia alikuja hapa, mwaka jana, kwahiyo wanatoa pesa wakijua sisi Tanzania tuna misimamo gani na tunafanya nini, hao wengine ni wapiga kelele tu, wala msiwajibu kwasababu watu wa namna hiyo hawaishi duniani.
Awali wiki iliyopita, zilikuja taarifa kwamba Benki ya Dunia WB imesema inafikiria uwezekano wa kuikopesha Serikali ya Tanzania mkopo wa dola za kimarekani milioni 500 sawa na Trilioni 1.152 za Kitanzania kwa ajili ya kuboresha sekta ya Elimu, mkopo uliokuwa umesimamishwa na benki hiyo kutokana na Rais Magufuli kutangaza kuzuia wanafunzi wanaopata mimba wakiwa shuleni kutoendelea na masomo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, benki ya Dunia imedai kuwa ilipokea barua kutoka wanaharakati kutoka nchini Tanzania ambao walieleza kuwa, Benki ya Dunia kuendelea kutoa mkopo huo ni kuendelea kuwabagua wanafunzi kwa kigezo cha waliojifungua, wenye ujauzito na wasio Wajawazito.
Hivyo walitaka benki hiyo kusitisha mkopo huo tangu mwaka 2018, mpaka serikali itakapobadili sera yake ya kumzuia mwanafunzi aliyepata mimba kuendelea na masomo.
Pia soma > Tanzania yaweza kukosa Mkopo wa Dola Milioni 500 kutoka Benki ya Dunia
Serikali yetu inajichanganya, inachanganya washirika wetu wa maendeleo, au watendaji wake wamezoea kauli za uongo na unafiki?Mimi nashangaa sana waandamizi serikalini kwa kurumbana na wanaharakati wakati wanachotakiwa ni kufanya mawasiliano ya karibu na watoa pesa ambao ni Benki ya Dunia!
Kazi ya msingi ya waandamizi serikalini ni kuhakikisha wanafanya linalowezekana ili maombi ya mkopo yakubaliwe. Kukubaliwa kwa maombi yao ya mkopo itakuwa ni jibu lao kwa wanaharakati na sio kupigizana kelele!
Please, focus on the World Bank and the rest will take care of itself!
Sio tunaweza kuwa donor country, sisi ni dona kantree na hiyo pesa tuliwakopesha benki ya dunia ndio wanalipa mkopo wetu. Hhahahahaha kama kawaida vifua mbereeeembona alisema sisi ni matajiri hatuhitaji misaada na tunaweza kuwa donor country
Tanzania bado sana!wamesema Tanzana ni donner country sasa mbona bado wananyoosha mkono?