matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nawaza kwa kutumia vidole kwa muda
World Bank sio watoto, ni mabeberu wenye ofisi zao nchini.
Wanajua, wanaona na wanasikia vinavyoendelea.
Mtazamo kuwa ni watu wa ajabu walio mbali wasiojua chochote hadi mtu mimosa msaliti awavijishie siri kwa mambo yaliyowazi au atuchonganishe sio sahihi.
Nadhani mjadala utoke kwa Zitto na uzito wake urudi kwa WB na sababu zao kama zina mashiko.
Dunia ni familia tuanze kujadili mambo na hoja zake sio watu na itikadi zao.
WB watakuwa wajinga sana ikiwa nao wanapelekeshwa na mawazo ya mtu na sio facts zilizotafitiwa.
World Bank sio watoto, ni mabeberu wenye ofisi zao nchini.
Wanajua, wanaona na wanasikia vinavyoendelea.
Mtazamo kuwa ni watu wa ajabu walio mbali wasiojua chochote hadi mtu mimosa msaliti awavijishie siri kwa mambo yaliyowazi au atuchonganishe sio sahihi.
Nadhani mjadala utoke kwa Zitto na uzito wake urudi kwa WB na sababu zao kama zina mashiko.
Dunia ni familia tuanze kujadili mambo na hoja zake sio watu na itikadi zao.
WB watakuwa wajinga sana ikiwa nao wanapelekeshwa na mawazo ya mtu na sio facts zilizotafitiwa.