Rais Magufuli: Benki ya Dunia wanatoa pesa wakijua Tanzania tuna msimamo gani na tunafanya nini, wapiga kelele wapuuzwe

Nawaza kwa kutumia vidole kwa muda

World Bank sio watoto, ni mabeberu wenye ofisi zao nchini.

Wanajua, wanaona na wanasikia vinavyoendelea.

Mtazamo kuwa ni watu wa ajabu walio mbali wasiojua chochote hadi mtu mimosa msaliti awavijishie siri kwa mambo yaliyowazi au atuchonganishe sio sahihi.

Nadhani mjadala utoke kwa Zitto na uzito wake urudi kwa WB na sababu zao kama zina mashiko.

Dunia ni familia tuanze kujadili mambo na hoja zake sio watu na itikadi zao.

WB watakuwa wajinga sana ikiwa nao wanapelekeshwa na mawazo ya mtu na sio facts zilizotafitiwa.
 
Mimi kama Beberu Nasema Pesa Sitoi mpaka mtakapoingia Heat
 
Ni kweli wapiga kelele wapuuzwe tu hakuna namna, wewe unapiga kelele na bado serikali hiyo hiyo inakuhudumia,unaishi kwa amani pamoja na njaa yako na shida zako lakini bado tu unapiga kelele,usaidiweje sasa?

nitarudi baadae
Matured Crap
 
Alifikiri ni sawa na anavifanya kuwa kila kitu akisema ni sawa. Akili yake ikamtuma kuwa ukishaongea na makamu basi ela inatoka. Nakujua kuwa kwa wenzetu lazima wakae na wataalam na kupitia kila kipengele. Alijua kapata pesa za uchaguzi. Imekula kwake wamebaki kutoa kafara (Moshi)
 
Taratiibu ...what called makelele yatajibiwa tu - haya mambo bana huwa hayarukwi ama kukwepeka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…