Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Tumekuwa tukishauri kwa muda mrefu sasa kwamba Halmashauri za Wilaya zifutwe kwa kuwa hazina tija kwenye maendeleo ya wananchi. Hii haitakuwa mara ya kwanza kuzifuta halimashauri hizo, kwa kuwa huko nyuma kitu kama hicho kilishafanywa na Mwalimu Nyerere, ambapo alizifuta mwaka 1972 na kuzirejesha tena mwaka1982.
Hata hivyo ushauri wetu has fallen on deaf ears, huku matumizi mabaya ya fedha za Watanzania katika halimashauri ukiendelea anabated na kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi. Tatizo la matumizi mabaya ya fedha katika halimashauri zetu limekuwa sugu miaka nenda miaka rudi.Tafadhali fuata link ifuatayo ulione hili.
Historia ya Serikali za Mitaa Tanzania – hitimisho
Naomba ikumbukwe kwamba halmashauri ndiyo immediate stakeholders wa maendeleo ya wananchi, halmashauri zikiyumba, maendeleo ya wananchi nayo yanayumba.
Rais Magufuli amepokea ripoti ya Control and Auditor General ya 2018-2019. Pamoja na upokeaji wa report hiyo, Rais ameongeleo mambo mengine ya msingi ambayo yanaihusu nchi yetu. Amesema kwa mfano kwamba amesikitishwa na duru ambazo zilitegemea kwamba shuhuli kama chaguzi zingesimama kwa sababu ya COVID-19.
Amesisitiza kwamba hata katika nchi ambazo zimeathiriwa zaidi na ugonjwa huo, shughuli kwa mfano za Bunge bado zinaendelea. Amesema kazi ni lazima ziendelee na Bunge litaendelea na ratiba zake kama kawaida kama ilivyopangwa. Aliongeza kwamba uchaguzi nao utaendelea kama ilivyopangwa come November, hautaahirishwa.
Report aliyowakilisha CAG pamoja na mambo mengine inaonyesha kwamba upo ubadhirifu mkubwa katika serikali za mitaa,ambapo Billioni 14 zimetumika kwenye miradi ambayo haikukusudiwa.
Mr Kichere said that about Sh1.13 billion was swindled by unscrupulous officials. He further said that about Sh1.52 billion was used without the approval of procurement boards in various districts. He also indicates that Tanzania missions abroad have been using a lot of money to pay rent.
Hata hivyo ushauri wetu has fallen on deaf ears, huku matumizi mabaya ya fedha za Watanzania katika halimashauri ukiendelea anabated na kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi. Tatizo la matumizi mabaya ya fedha katika halimashauri zetu limekuwa sugu miaka nenda miaka rudi.Tafadhali fuata link ifuatayo ulione hili.
Historia ya Serikali za Mitaa Tanzania – hitimisho
Naomba ikumbukwe kwamba halmashauri ndiyo immediate stakeholders wa maendeleo ya wananchi, halmashauri zikiyumba, maendeleo ya wananchi nayo yanayumba.
Rais Magufuli amepokea ripoti ya Control and Auditor General ya 2018-2019. Pamoja na upokeaji wa report hiyo, Rais ameongeleo mambo mengine ya msingi ambayo yanaihusu nchi yetu. Amesema kwa mfano kwamba amesikitishwa na duru ambazo zilitegemea kwamba shuhuli kama chaguzi zingesimama kwa sababu ya COVID-19.
Amesisitiza kwamba hata katika nchi ambazo zimeathiriwa zaidi na ugonjwa huo, shughuli kwa mfano za Bunge bado zinaendelea. Amesema kazi ni lazima ziendelee na Bunge litaendelea na ratiba zake kama kawaida kama ilivyopangwa. Aliongeza kwamba uchaguzi nao utaendelea kama ilivyopangwa come November, hautaahirishwa.
Report aliyowakilisha CAG pamoja na mambo mengine inaonyesha kwamba upo ubadhirifu mkubwa katika serikali za mitaa,ambapo Billioni 14 zimetumika kwenye miradi ambayo haikukusudiwa.
Mr Kichere said that about Sh1.13 billion was swindled by unscrupulous officials. He further said that about Sh1.52 billion was used without the approval of procurement boards in various districts. He also indicates that Tanzania missions abroad have been using a lot of money to pay rent.