Alifisadi sana akiwa na JKNi wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa...
Ni wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa...
Hata mimi sijaguswa, ...
Ulitaka umuone analia live kwenye luninga? Ndio ujue ameguswa?Ni wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona Rais yuko kimya, hata kutuma kijitwiti cha kusikitishwa na kifo chake?
Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Mo alipotekwa wala hakuguswa sembuse Subash.
Au nasema uongo??!🤣
Huwa hawapendi watu weupeNi wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona Rais yuko kimya, hata kutuma kijitwiti cha kusikitishwa na kifo chake?
Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Runinga sio luninga ikikushida kuandika weka TV ina toshaUlitaka umuone analia live kwenye luninga? Ndio ujue ameguswa?
Atakwambia roho yake haina tofauti na yule mwananchi wa ikwiririAmeshindwa hata kutoa pole ya kuigiza kama alivyofanya kwa Lissu.