Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Ni wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona Rais yuko kimya, hata kutuma kijitwiti cha kusikitishwa na kifo chake?
Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona Rais yuko kimya, hata kutuma kijitwiti cha kusikitishwa na kifo chake?
Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?