Uchaguzi 2020 Rais Magufuli hakumtuma mzee Aggrey Mwanry kugombea Tabora, amemstaafisha

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli hakumtuma mzee Aggrey Mwanry kugombea Tabora, amemstaafisha

Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie.

Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.

Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa

Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando

Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact

Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.

Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).

Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.

Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!View attachment 1508862
Kampeni manager una mikwara mbuzi sana.
 
Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie.

Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.

Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa

Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando

Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact

Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.

Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).

Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.

Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!View attachment 1508862
Acha mbwembwe. Aggrey Mwanri umri wa kustaafu ulishapitiza. Amestaafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma. KAMA umeleta tangazo la kujinadi basi hapo umechemka. Endelea kujaza fomu yako na rejesha.
 
Mkuu kama unajifunza siasa rudi kwanza shule, kama umekula pesa ya mtu ya kampeni mrudishie muombe ujitolee kumfanyia bure kwanza ukiwa kama mwanafunzi wa kujitolea.

Wewe umri mdogo sana kuliko unavyojidhania ndiyo maana unabishana kitoto na siasa zako nyepesi, siasa majitaka (gutter politics).

Siasa zako kukimbilia kumpondea mtu mazuri yake badala ya kusema mazuri yako kwa ufasaha zimepitwa na wakati. Unamsaidia yule mzee apate airtime nzuri ssna.

Angalia mjadala wako ulivyogeuka wa kumtangaza na kujadili zaidi mambo makubwa ya Mzee Mwanry badala ya kujadiliwa mgombea wako.

Fanya tathmini angalia watu wangapi wamemtaja au kumjadili huyo mgombea wako? Huoni umesababisha mzee apate platform kubwa ya kampeni?

You want to be older than me, then act like one!
 
Mwanri anafahamika utendaji wake toka akiwa naibu waziri tamisemi alimzidi hata majaliwa,kaupepo ka chadema kaskazini 2015 ndio kalimharibia pale jimboni kwake siha mpaka mchovu mollel akachkua jumbo. Nisahihi yeye kulirudia jimbo lake ukuu was mkoa ulikuja by the way...
Heko Mwanri nasafari hii utashinda kwa kishindo wasiojua watulize ujinga wao
Aisee hili Jembe nimechukua fomu Siha? KAMA ndivyo nimefurahi sana. Ni Jembe la chuma cha pua hana mpinzani
 
Watu wanachoka ukuu wa mkoa hata Ole Sendeka leo ameamua kwenda kugombe ubunge Simanjiro. Kuna shida kwenye nafasi za wateule wa rais, wanakimbia.
Mbona hamuongelei kuwa wanakimbia maagizo kutoka juu ambayo mengine ni magumu kutekelezeka mkoani?
Kwa mfano kuwakamata wapinzani, kuwabambikia kesi hata pale panapoonekana na jamii ni uonevu wadhani haiwasumbui wao katika jamii wanazotoka?
Usione wanatangaza nia coz they want to be free from "you must do this and that no matter people perceive you otherwise"
 
Nimesooma hoja yako sijaelewa kabisa!
Ila ulichofurahisha Ni pale unapotrtea Utopolo uliowasilsha ,Mwanry Ni Kiongozi tatizo Ni Chama chake tu!
 
Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie.

Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.

Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa

Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando

Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact

Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.

Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).

Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.

Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!View attachment 1508862
Dah

Upupu mtupu
 
Watu wanachoka ukuu wa mkoa hata Ole Sendeka leo ameamua kwenda kugombe ubunge Simanjiro. Kuna shida kwenye nafasi za wateule wa rais, wanakimbia.

Pamoja na povu la JPM bado wanamkimbia! Si RCs tu Bali sasa wamo DCs, Permanent Secretaries (PSs), Directors General DGs) , nk. Wameona kitu. Kuna shida ama binafsi au ya kiutawala.
 
Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie.

Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.

Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa

Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando

Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact

Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.

Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).

Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.

Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!View attachment 1508862
Mwanri lazima atoboeeee
 
Back
Top Bottom