Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Ukiangalia kwa makini utaona kuna uzembe umefanywa kwenye kupambana na Corona ,naomba mwenyezi Mungu uwashushie mkono wako ili kuwaponya watanzania.
 
ni kweli Wizara hawatoi takwimu halis.
Data kamili inatakiwa kuwa kama ifuatavyo
Sample zilizochukuliwa ni ngapi?
Postive ngapi
Death ngapi
Waliopona na kuruhusiwa ni wangapi.
 
Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
 
..Camp David ni ya Maraisi wote wa Marekani.

..huyu bwana ni muongo.

..anatuambia tusiwe na hofu, wakati yeye kajificha Chato.
Lakini sio ikulu pili raisi sio muongo tatu piga kazi huwezi nenda kwenu kajifungie hakuna atakae kutoa au huna kwenu nne au nataka nawe kwenda chato maanake hatujui unataka nini

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Sasa kama rais anaongea watu si lazima wamjadili ...hata kwa wasiomkubali ukweli yeye ndio rais hivyo lazima kila kimtokacho mdomoni kitachambuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…