The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Mbona hujamtuhumu Trump kwa lawama anazozitoa hadhalani kwa china? Au Trump siyo mkuu!!Kwani hajatia hofu wananchi kwa madai yake labda ilisambazwa makusudi? Ni kawaida kwa mtu wa kawaida kufikiri korona ilisambazwa makusudi na wageni, je ni kawaida kwa kiongozi kuwa paranoid hadharani?
Mie pia nilifikiri korona itasambazwa na wazungu au wachina kabla haijaingia kwetu, lakini mie ni mtu wa kawaida mwenye paranoia, baada ya kufikiri nilipuuzia wazo hilo.
hahahaha, wanafiki bwana....mbuzi wa kafaraTaarifa za waliopona ni za muhimu zaidi Ripoti ionyeshe jumla ya wanaoumwa waliopokelewa,waliopona na waliokufa na balance ya ambao bado wanapambana na hali yao na corona wakigalagala hospitali ambao hawajukikani kama watakufa au kupona
Raisi yuko sahihi
Mungu hakujali vatican ije siye tunaopigana risasi kwa sababu ya siasa? Jilinde na kuzingatia maelekezo ya WHO na kuomba, kuomba Mungu pekee bila juhudi zako hakuwezi kukuepusha.Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
Kwa hali ilivyo sasa, nikizingatia takwimu tulizonazo, sioni kama kuna haja ya kuwapigia magoti WBKila mwezi tunalipa Bilioni 700 kwa madeni ambayo karibu Bilioni 200 inaenda World Bank. Sasa kwasababu wao wameguswa na ugonjwa huu hasa World Bank watusamehe madeni hata kwa percentage ili hela zitumike kupambana na Corona
Trump hajawahi kusema wachina walipuliza korona mitaani.Mbona hujamtuhumu Trump kwa lawama anazozitoa hadhalani kwa china? Au Trump siyo mkuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi Magufuli chapa kazi achana na hawa vigaguraKwani hajatia hofu wananchi kwa madai yake labda ilisambazwa makusudi? Ni kawaida kwa mtu wa kawaida kufikiri korona ilisambazwa makusudi na wageni, je ni kawaida kwa kiongozi kuwa paranoid hadharani?
Mie pia nilifikiri korona itasambazwa na wazungu au wachina kabla haijaingia kwetu, lakini mie ni mtu wa kawaida mwenye paranoia, baada ya kufikiri nilipuuzia wazo hilo.
Hiyo ni pure kushabikia ushirikina!
It's a shame to have a "Prezidaa" like him!
Ngonja nikujibu upya. Sikujua kama ni wewe Fundi Mchundo. Yes Olny in Tanzania. Umeona Giuseppe kakimbia Ikulu kuu?Macron kakimbia ikulu ?Trump kakimbilia Florida ?Mseven kakimbia Kampala ?Uhuru je ?Huyu Rais wa kutuambia tujifukizie mfuke wa above 100'C?Tule vitunguu.
Again kakimbia Ikulu kuu kaenda kijijini sababu ya Coronavirus. π₯π₯π₯