Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Huyu sijui kama alikuwepo nchini hawezi kuwa na haya mawazo kwamba kwake ni kitu kipya hakuwahi sikia kikifanyika
 
Huyu jamaa a
Anataka kujiuzuru, nini? Corona siyo mchezo! Jamaa anaogopa corona kuliko ukoma. Kwa nje utamsikia: haka kamafua ka kolona...
Anasema nyie mtulie msiogope wakati yeye katoka nduki.
 
Nilikua sijui kama kianzisha mada JF ni kitu rahisi namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mie nimeshindwa kusoma Wala kusikiliza hotuba yote nimeishia tu hapo kwenye mask toka nje sijui sasa naomba kuuliza kwa wanaojua,Je kwenye kipindi hiki cha corona TBC na TFDA sijui wapo rikizo? Maana inaonekana kwa majibu wa Magufuli budhaa toka nje si salama,au hizo mask zinashushwa Tanzania toka hewani?
 
Hajasema barakoa kasema barakola
 
Hii tabia ya kuwadharau wataalamu na kuleeta ujuaji itawachanganya raia sasa. Kuwa rais sio kujua kila kitu.
 
Taarifa iliyotumwa na mseamaji wa Ikulu kuhusu hotuba ya Rais Magufuli kasema"Anataka wizara ya Afya iwe inatoa takwimu sahihi maana ana taarifa waliopona ni zaidi ya 100 na walioambukizwa ni 284


My take,mpaka hapa nilipo binafsi nimeisha changanyikiwa,hii ni siku mbaya sijawahi ona

Hotuba ya waziri mkuu leo amesema waliopona ni 11

Waziri wa Afya wakati akionyesha wale 30 katika mikoa hajasema wamepona zaidi ya 100

Hapa Rais anakosoa wizara kutotoa takwimu sahihi (Which is which?)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa hata kuandika,yaani rais kututangazia kuwa bidhaa toka nje si salama wakati huo hizo bidhaa zikiwemo madukani nchini Tanzania maana yake anasema serikali yake imeshindwa kazi,hakuna udhibiti tena kila mmoja anaweza akaingiza bidhaa yake Tanzania as if anapekeka home kwake Kama nchi hii wangekuwa wanaishi watu hai sentence hii tu ingetosha kuanza maandamano ya kumng'oa maana anachezea maisha yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…