Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Stupidity is still common in Tanzania.

Mtu anatoka kule ameshiba utumbo wa bata anaandika mambo ya hovyo hovyo na ajabu unakuta ni mzazi ana watoto wanamtegemea kujifunza kutoka kwake.

Hizi nchi zetu kuendelea bado sana kwa sababu ujinga bado ni tatizo kubwa kiliko hata magonjwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo Taarifa ya ummy ya kesho itakua waliopona 123 wagonjwa 285 yani kutufanya sie kama wanae mzee huyu.Wakati hayo mamia yameanza kutangazwa juzi tu. We toka chatto bwana uje tupambane usituchoshe hapa.Ummy angekua bold enougu angejiuzulu lin ndio hvo tena atakula wapi mana pale ni kama amewatusi kina ummy

Yani acha tuu
Hapo ndipo panapo nikela zaidi yeye ni uongo uongo tu kwenye kila kitu, Alisema nchi ina hela(akiba) za kutosha Sahivi analia lia kuomba Mkopo WB na IMF na amenyimwa..
Anatuona Sisi ni mapopoma Sana
 
Kuna athari kubwa sana kwa mtu akijijengea fikira ya kupinga kila kitu,hebu fikiria kidogo makao makuu ya umoja wa mataifa yako Marekani,unataka kuniambia katibu mkuu wa umoja wa mataifa akitaka kutoa hotuba hadi aende Marekani,hawezi kuwa Tanzania na bado akahutubia mataifa yote?

Chato ni Tanzania,tupunguzeni manunguniko yasiyo tija

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ndio Tanzania lakini sio ofisi ya umma? Yani mtu yupo kwake wewe unasema Ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona maswali yako hayaendani na conclusion yako? Au nisome Tena kwa Mara ya tatu?
 
Kwaiyo Taarifa ya ummy ya kesho itakua waliopona 123 wagonjwa 285 yani kutufanya sie kama wanae mzee huyu.Wakati hayo mamia yameanza kutangazwa juzi tu. We toka chatto bwana uje tupambane usituchoshe hapa.Ummy angekua bold enougu angejiuzulu lin ndio hvo tena atakula wapi mana pale ni kama amewatusi kina ummy
Kwamba miaka yote hiyo ya kuwa mbunge na Waziri hana other sources of income?Basi nchi yetu itakuwa na bahati mbaya
 
Hata mtoto wa kindergarten huwa anamuona mtoto std 1 ana akili sana.
it's understandable!
 
Bottomline ya Rais ni kuwa let nature take its course. Natural selection take its course, survival for the fittest! atakayebaki basi anatosha mimi kutawala! Vinginevyo huwezi kusema maneno kama hayo!
Na kweli tutapukutika vilivyo in the world history! Kinachoonekana kuzisaidia Europe na USA ni kockdown. South Amrica walifanya kama Jiwe, maiti zinaokotwa barabarani!.. Equador Pascal Mayalla au unasemaje rafiki
Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta yaani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Stupidity is still common in Tanzania.

Mtu anatoka kule ameshiba utumbo wa bata anaandika mambo ya hovyo hovyo na ajabu unakuta ni mzazi ana watoto wanamtegemea kujifunza kutoka kwake.

Hizi nchi zetu kuendelea bado sana kwa sababu ujinga bado ni tatizo kubwa kiliko hata magonjwa.

😂😂😂 Hivi mkuu haya maneno uliyoyaandika mkikutana live unaeza kumfikishia mlengwa live live?
 
Ningependa kunukuu maneno ya mh rais magufuli leo hii katika hotuba yake aliyoitoa kule chato

Amesema

"Hakuna virusi wanaokufa kwa 'fumigation', kilichofanyika Dar es Salaam cha kupuliza dawa yenye kemikali ni upuuzi. Wanaokufa kwenye '`fumigation` ni mende na si virusi ikiwemo virusi vya corona" Rais Magufuli

Je Ile project ya fumigation pesa yake imetoka katika bajeti ipo ya mkoa?
Na je mganga mkuu wa mkoa hajui kuwa fumigation haiui virus hususani wa corona?

Inafikirisha hili jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mambo mengine yataleta impact badae sana
Miezi mitatu mbele naona vile Tanzania tutakua haturuhusiwi kwenda nchi nyingine simply because ya uzembe wa jinsi tunavyoshughulikia Corona

Haya shule na vyuo wazifungue maisha yaendelee Kama kawaida.
 
Back
Top Bottom