Sio kweli mwanasiasa upinzani tishio nani? Mbowe,zito kabwe,seif Sharif Hammad, mbatia? Ni wapinzani? Na ni viongozi Wa upinzani? Mpinzani alikuwa mtikila tuPersonally naamini Magufuli kuwaita jamaa kwenda kule, kuna kikao cha siri dhidi ya baadhi ya wanasiasa na watu wanaoonekana ni wasumbufu.
Otherwise angeweza kuongea nao akiwa kule na wao wakiwa Dar.
Kuna agenda zaidi ya hii.
Tulimpenda wenyewe(Ikulu Chato). Only in Tanzania.
Endeleeni kujitekenya hivyo hivyo, lakini nikukumbushe yafuatayo:-Wakati nchi za Marekani na Ulaya zinawa kulegeza lockdowns sasa Tanzania ukiona kuwa haitawezekana kuwafungia ndani watu wote kwa Mara moja. Nchi zilizojaribu kufanya hivyo hazikupata matoe chanya dhidi ya CORONA.
Ni kwamba kawashushia tuhuma nzito!Kwahiyo virus vinaweza kukaa kwenye masks muda mrefu tu bila kufa? elimu mpya toka wak Jiwe
Naona umeumia sana... again, sina muda wa kumsikiliza Jiwe cuz' he doesn't have what it takes to have my attention! Hivi naanzaje kumsikiliza mpiga ramli anayedanganya watu kwamba unaweza kuua virus wa corona kwa kujifukisha na mvuke?!That's why he is ruling and you're crying like a kid.
Umetembelea mortuary za Marekani na Italy ambako wamejifungia? Au unasema tu, hata Rwanda umetembelea mortuary zake? Usijidanganye kaka, wewe mtaani kwako unakokaa, kazini kwako, kanisani kwako, kwenye ukoo wako umeona watu wangapi waliokufa kwa CORONA? Au unasikia maneno ya mtaani?Jaribu kufanya ziara kwenye mochwari zetu ujionee
Jr[emoji769]
Wenye AKILI wameshafunga biashara zao, I believe you didn't think through mkuu. Wasio na akili bado wanaganga njaa na biashara zao, sio? Hujatumia busara kufikisha ujumbe wako.
Unadhani kwanini katibu mkuu wa wizara ya afya kahamishwa na mganga mkuu wa serikali kaondolewa?!"Lakini pia taarifa zetu ziendane na ukweli hasa katika watu wanaopona. Nina taarifa kwamba mpaka leo tulikuwa na wagonjwa 284, lakini naambiwa karibu 100 ya wagonjwa walishapona. Hizi takwimu za wagonjwa wanaopona nazo zitangazwe ili kuwaondolea hofu wananchi" - Rais John Magufuli.