pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Leo tulikua na hotuba tatu na moja ilizimwa ili kukabiliana na korona, tukabaki na mbili moja toka kwa Rais kipenzi nyingine toka kwa field marshal waziri mkuu anaestahili kupandishwa cheo hatua mbili juu.
Na zote zilizungumzia na kutoa takwimu kuhusu huu ugonjwa, wa kwanza alikua waziri mkuu akasema tua wagonjwa 284 saba wapo katika uangalizi maalum 10 wameaga dunia na 11 wamepona walobaki wanaendelea vizuri.
Akaja Rais mwenyewe akasema waliopona wako 100 bila kutaja waliokufa na walio mahututi. Sasa twende na takwimu hipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na zote zilizungumzia na kutoa takwimu kuhusu huu ugonjwa, wa kwanza alikua waziri mkuu akasema tua wagonjwa 284 saba wapo katika uangalizi maalum 10 wameaga dunia na 11 wamepona walobaki wanaendelea vizuri.
Akaja Rais mwenyewe akasema waliopona wako 100 bila kutaja waliokufa na walio mahututi. Sasa twende na takwimu hipi?
Sent using Jamii Forums mobile app