Kamgomoli,
Unafahamu akili ya Taifa inafanya kazi na nani hasa? Unafahamu Rais anapata taarufa nyingi ku
cutelove,
Umendika nini sasa hapo? Hujaelewa chochote umejaa chuki tu. calm down leta hoja mezani.
Haipo njia moja ya kutatua tatizo " principle of equifinality" ..there are multitude ways of reaching to the same goal"..usikariri.
Kuwa mpole Tanzania siyo Ecuador ingawa tunaweza kujifunza ila suala la msingi ni kuuhusisha na mazingira yetu " to contextualize".
Profesa Wadada Nabudere aliwahishauri sana juu ya "glocalization" kwenye African developmental states.
Usiandike sana hisia zako kwa sababu utatuletea chuki za kipuuzi andika hoja yako ya msingi na hoja inabomolewa na hoja nyingine siyo maneno ya vijembe eti " Subiri mtaona"
Calm down.
Rais anataka upuliziaji uwe wa uhakika ndiyo maana umeshauri dawa ziwe sahihi na m hanganyiko uwe sahihi ( amekosea nini).
Rais umeshauri vifaa vya kujikinga vizalishwe Nchini kwani tuna viwanda vyetu hata kama ni vichanga ni vyetu na hili litatupa uhakika zaidi na kukidhi mawanda mapana ya uhitaji ( amepotosha wapi?).
Rais ameshauri tujaribu na njia nyingine ...limetumika neno tujaribu na mfano mmoja wapo ni kufukiza ingawa tunaweza kujaribu njia nyingi zaidi kama wanavyojaribu Nchi nyingine ( shida ipo wapi?).
Angalia time lap na vyanzo vya taarifa vya Rais na vile vya wengine usikurupuke.