Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

UTABIRI WANGU: tamko la lockdown litatoka muda siyo mrefu.
 
Yani toka Saa 9:45 hadi Saa 10:30 Uzi uko page ya 7,hakuna update yoyote, wala haijulikani Rais anaongea nini.... Kweli Bongo Nyoso
 
Waafrika hususani sisi wa-Tanzania hatujawahi kuheshimu na kujali muda kabisa, si viongozi (hata kama ni Rais) wala raia...

Sasa tangazo linasema saa 9:45 alasiri, lakini mpaka sasa saa 10:10jioni hii, hakuna lolote linaloendelea ktk platforms zote kama TV, social media, YouTube nk ambako mtu anaweza kuifuatilia hotuba hiyo....

Au "LIVE" maana yake nini jamani?
Chato tunapishana napo muda kidogo, kuwa na subra
 
..Chato ni kijijini kwa Magufuli.

..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.

..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.

..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.

..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.

..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Atakaaje Ikulu wakati Dar, Dodoma kuna Corona? Kwani yeye hapendi kuishi? ...………...May be ndio 'Working from home' yake hiyo…………...
 
..Chato ni kijijini kwa Magufuli.

..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.

..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.

..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.

..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.

..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Nashauri hii point itumike kwenye uchaguzi, itawapa wapinzani kura nyingi sana.
 
Back
Top Bottom