Jana katika maelezo yake kuhusu ugonjwa wa Corona, Rais Magufuri amedai yawezekana masks zinazotoka n'nje zikletwa na virus wa Corona.Kwa kuwa mabeberu wanaleta vitu vingi tu Kutokana kwao.
Sasa kwa kuwachokoza mabeberu hawa haoni kuwa amejiweka kwenye mazingira magumu Sana,maana mwezi huu tu wa never mabeberu wanemfurahisha Mara mbili.
Moja Nchi 25 zilizopewa mkopo kuokoa uchumi usianguke Kutokana na Janga la Corona Tanzania imenyimwa.Pili nchi 27 zilizosamehewa Madeni Kutokana na Corona Tanzania haimo.Sasa mabeberu watamfurahisha Tena sijui kwa staili gani.