Hata ikitokea hivyo hutapaswa kumlaumu kiongozi yeyote, kwani ulikuwa na uwezo wa kujifungia ndani wewe na familia yako msitoke nje kabisa. Nini kinakufanya usubiri mtu akumbie ujifungie ndani? Halafu unasema una akili.
Na kwanini Kenya na South Africa pia yanaendelea? Vipi USA, Italia, Uingereza..... huko kote hawafuati?
nakushauli usiwe na hofu itakusaidia. Disregard all precaution utapenya salama. nami nafanya hivyo!Mshikemshike ulianza wiki iliyopita. Taharuki kila kona, na mwishoni mwa wiki iliyopita RC wa Dar es salaam alipotangaza amri ya kuvaa barakoa kwa wananchi wake. Jumatatu wengi walivaa barakoa za mafundi cherehani kwa hofu aidha ya mkono wa dola au corona.
Jumanne jioni hofu ikaongezeka, Jumatano kauli za Rais zikaleta tumaini, sasa taratibu tunarudi kwenye maisha yetu ya zamani.
Je, kutokuwa na hofu dhidi ya corona ni silaha ya ushindi dhidi yake?
WHO wanaweza kuwa na jibu zuri zaidiNa kwanini Kenya na South Africa pia yanaendelea? Vipi USA, Italia, Uingereza..... huko kote hawafuati?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshikemshike ulianza wiki iliyopita. Taharuki kila kona, na mwishoni mwa wiki iliyopita RC wa Dar es salaam alipotangaza amri ya kuvaa barakoa kwa wananchi wake. Jumatatu wengi walivaa barakoa za mafundi cherehani kwa hofu aidha ya mkono wa dola au corona.
Jumanne jioni hofu ikaongezeka, Jumatano kauli za Rais zikaleta tumaini, sasa taratibu tunarudi kwenye maisha yetu ya zamani.
Je, kutokuwa na hofu dhidi ya corona ni silaha ya ushindi dhidi yake?
Lakini kuna siku makaburi ya wale wafu yatajulikana na idadi kamili itapatikanaHujajua madhara ya ile hotuba mkui, kwa sasa takwimu za wagonjwa Wa corona zitapunguzwa sana, zaidi zitatangazwa za wanaopona zaidi.Kwa hyo watu watazikwa kimyakimya.
Wengi hawataki kunawaHofu imepungua sawa ila usiache kuvaa Barakoa na kunawa mikono kila inapobidi plus kuepuka mikusanyiko isio ya lazima...
Nenda mbweni ukajionee watu wanazikwa kwa kutupwa kwenye mashimo.Mshikemshike ulianza wiki iliyopita. Taharuki kila kona, na mwishoni mwa wiki iliyopita RC wa Dar es salaam alipotangaza amri ya kuvaa barakoa kwa wananchi wake. Jumatatu wengi walivaa barakoa za mafundi cherehani kwa hofu aidha ya mkono wa dola au corona.
Jumanne jioni hofu ikaongezeka, Jumatano kauli za Rais zikaleta tumaini, sasa taratibu tunarudi kwenye maisha yetu ya zamani.
Je, kutokuwa na hofu dhidi ya corona ni silaha ya ushindi dhidi yake?
Kusema ukweli barabara nyeupe yani mji wa dar ulipaswa uwe hivi no foleni sasa uchumi utakua kwa kasiBabu umefika mjini leo?
Watu barabarani hamna kabisa wamejifungia alafu wewe unasema hofu imepungua
Samahani braza hivi huko ulipopataja kote maambukizi yalikuwaje mwezi March na April yamepanda kwa kiwango gani(namaanisha % ngapi) in comparison to hapa Bongonyooo..?Na kwanini Kenya na South Africa pia yanaendelea? Vipi USA, Italia, Uingereza..... huko kote hawafuati?
Sent using Jamii Forums mobile app