Kiukweli hatuwez wote kuona jambo kwa usawa,
Hatuwez sote kusikia kwa usawa vilevile
Hatuwezi kupenda kwa usawa pia
Lakini pia kuchukia katu hatuwez kuchukia jambo kwa usawa katu.
Raisi wetu MAGUFULI anania nzuri mno na nchi yetu, raia wake, maendeleo yetu, afya zetu na Kikubwa anania nzuri pia na Africa nzima kwa ujumla, japo hatuwez kuona na kusikia kwa usawa basi tuhisi hilo japo kwa usawa.
Anatumia maneno mepesi ili tuelewe nini anamaanisha anatumia maneno mepesi ili tujue nini kinaendelea, yeye yupo huko kwenye ulimwengu wa siri ni yeye anaejua ukweli lkn hawezi kuusema hadharani kwasababu fulani ambazo binafsi nahisi tu lkn nna hakika zipo nawe usomae hapa unahis.
Raisi wetu anajua corona ni hatari anaelewa corona inaua na imeua watu 10, ni wengi sana lkn anajua kwamb hatua tofauti na hizi zaweza kuua nchi zaid ya watu 10, itatuua ktk maendeleo, akili, afya, maisha, elimu, ajira, kilimo na kimwili pia..
Hivyo amechagua tufe kwa njia moja tu ya kimwili lkn mengine yote tuwe salama binafsi nimemuelewa hapa zaid kuriko uwazavyo.
Corona ipo ni hatari sn inaua, lkn ndani ya corona kuna propaganda nyingi mno kuriko ilivyo, inaweza kuwa kuna mataifa yanatak kutumia corona kututawala kuturudisha nyuma kutuyumbisha kutuua kiuchumi kiakili kimwili na kifikra.
Raisi anatakiwa support yetu watanzania huu sio muda wa kutengana kama nchi huu ni muda wa kuinuka na kupambana na hizi hofu tunazojengewa huu ni wakati muafaka sana wa kupiga bao km nchi km MTU mmoja mmoja kiuchumi kwani wakt km huu ambao wenzetu wamelala sisi tupige kazi sisi tujikinge kwa namna zote na tuijenge nchi yetu. Huu ni muda wa kuomba na kuamini ktk imani zetu ya kwamba corona ni ugonjwa km yalivyo magonjwa mengine hivyo kwa inani tutapona lkn TUPIGE KAZI HASWA.
MIMI NAMUUNGA RAISI MKONO KWA JITIHADA ZAKE ZOTE KWA NCHI KWA RAIA NA KWA BARA ZIMA LA AFRICA ZIDI YA INTERNATIONAL ORGANIZATIONS zinazotak kutumia corona kutufunga daima...
MAGUFULI raisi wangu MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SANA. Amen