Sasa sisi tulifanya unafki kumuona Mobutu mkosaji , na mpaka leo tunadhani hakuitendea vema maamuzi ya kiti.Kuna shida akihutubia toka chato? Kavunja sheria gan
Mmmh mbona hauko seriousWako live utv kwenye azamtv
Chato tunapishana napo muda kidogo, kuwa na subraWaafrika hususani sisi wa-Tanzania hatujawahi kuheshimu na kujali muda kabisa, si viongozi (hata kama ni Rais) wala raia...
Sasa tangazo linasema saa 9:45 alasiri, lakini mpaka sasa saa 10:10jioni hii, hakuna lolote linaloendelea ktk platforms zote kama TV, social media, YouTube nk ambako mtu anaweza kuifuatilia hotuba hiyo....
Au "LIVE" maana yake nini jamani?
[emoji26]
Hii 9:45 lasiri, ni saa za afrika mashariki au magharibi ya mbali?
Hadi taarifa ya habari?
π π π π π πKumbe covid ina nyimbo nyingi hivi
Atakaaje Ikulu wakati Dar, Dodoma kuna Corona? Kwani yeye hapendi kuishi? ...β¦β¦β¦...May be ndio 'Working from home' yake hiyoβ¦β¦β¦β¦.....Chato ni kijijini kwa Magufuli.
..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.
..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.
..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.
..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.
..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Jiwe kafanya kosa ganSasa sisi tulifanya unafki kumuona Mobutu mkosaji , na mpaka leo tunadhani hakuitendea vema maamuzi ya kiti.
Odhis *
Mitambo. Chief mitambo alifariki kwa Coronavirus. Walikuwa live sema mitambo ikakata.Yaani rais anaongea tbc wako bize na vipindi vyao...
Dah!
Dah ulivyokomaa na huyo Fundi aliyekufa aiseeMitambo. Chief mitambo alifariki kwa Coronavirus. Walikuwa live sema mitambo ikakata.
Nashauri hii point itumike kwenye uchaguzi, itawapa wapinzani kura nyingi sana...Chato ni kijijini kwa Magufuli.
..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.
..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.
..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.
..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.
..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.